Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Mzee Mwanakiji anataka kutuchanganya kwa kudai Kuhani aseme lini Mwalimu alitamka "ninang'atuka........" Hicho unachosema, ndicho anachokisema Kuhani!
Amandla.........
Mwanakijiji kumtaka, kumuomba, au kumdai Kuhani aseme lini Mwalimu alitamka maneno hayo si kutuchanganya bali ni katika juhudi za kutafuta ukweli tu. Sioni ubaya wowote hapo na mimi sijachanganywa na kitu hapo.
Labda wewe ndiye umechanganywa lakini kusema "kutuchanganya" ni kupotosha kwani hilo ni neno la uwingi unless na wewe uwataje watu wote walichanganywa na ombi la Mwanakijiji kama watu hao watakuwa wamekukubalia wewe uwe msemaje au mwakilishi wa mawazo au maoni yao.