Asante CCM
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 346
- 1,301
" Siasa ni sayansi ya sanaa na huenendana na nyakati. Ndiyo maana kwenye siasa hakuna adui wa kudumu na rafiki wa kudumu vilevile.
" Magufuli pamoja na mabaya yake lakini hakuwa mwizi na mgawa rasimali zetu kama Mkapa, Kikwete na huyu mwizi wa sasa.
" Magufuli kamwe asingekubali kuuza bandari zetu!
" Kama tunavyoyasema mapungufu ya Magufuli hata mazuri yake mengi hasa ya kutokuuza rasimali zetu tutayasema waziwazi mchana kweupe. NA KAMA NI KUMSAMEHE MAGUFULI KWA KIGEZO HICHO, TUTAMSAMEHE."
" Magufuli pamoja na mabaya yake lakini hakuwa mwizi na mgawa rasimali zetu kama Mkapa, Kikwete na huyu mwizi wa sasa.
" Magufuli kamwe asingekubali kuuza bandari zetu!
" Kama tunavyoyasema mapungufu ya Magufuli hata mazuri yake mengi hasa ya kutokuuza rasimali zetu tutayasema waziwazi mchana kweupe. NA KAMA NI KUMSAMEHE MAGUFULI KWA KIGEZO HICHO, TUTAMSAMEHE."