Tetesi: Lissu anaumwa

Tetesi: Lissu anaumwa

Isije ikawa tayari wamemnyesha sumu kama alivyotuambia marekani.Uzuri wamewaambia serikali ya Tanzania kuwa akipata baya wajue watakiona Cha moto.CCM mnasubiliwa Kwa hamu na ICC
Lisu akitoka jela afanyiwe vipimo kwenye hospital za kimataifa kubaini vyote alivyolishwa na ibirisi wa ccm
 
Ngombe wa mama
Too low! Siko hivyo. Ila tuwe wakweli. Mimi najua mambo kama haya ya Lissu yanamalizwq ndani ya nchi. Sifurahishwi sijui kuwahusisha kina Amsterdam na McAllister wa Bunge la Ulaya. Mbaya sana.
 
Too low! Siko hivyo. Ila tuwe wakweli. Mimi najua mambo kama haya ya Lissu yanamalizwq ndani ya nchi. Sifurahishwi sijui kuwahusisha kina Amsterdam na McAllister wa Bunge la Ulaya. Mbaya sana.
Wambie ibirisi wa ccm waache maovu uonevu na matendo haramu ya kishetani hakuna mzungu atahangaika nao
 
Sasa yuko jela why umpe sumu?

Lissu kajimaliza mwenyewe…. Sababu ya mudomo

Kwa ujumla…. Kilichobaki sasa ni vita ndani ya ccm

Ndumuz mmejimaliza wenyewe
Acha porojo bwana mdogo,, mtu hawezi kujimaliza kwa kusema ukweli. That's called speaking truth to power, siyo kujiua kisiasa.
 
Kama si kweli, tutaomba JF wafute account yako maana umezidi kwa uzushi
Badala uwakataze ibirisi wa ccm waache vitendo haramu vya kishetani unapanga njama za kumtoa mleta mada jukwaani
 
Dah! Naikumbuka kauli ya Mtikila "...Mpaka wetu na Zanzbar ni bahari"
Mtikila aliwekewa sumu akiwa jela akapaza sauti wakampeleka hospital mungu akamlinda akapona kama Mwakyembe na lowasa
 
Me naona kama anapoteza mda wake kuwapambania watu wasiojielewa angevuta chake awaache watz wanyoshwe na ccm.
Mwafrika mbele ya tumbo kukua haoni tabu hii ipo Africa nzima unakufa unaacha familia yako inateseka kwa kuzipigania maiti.

Acha watz wanyooshwe bado sana wakichoka hawatalazimishwa kuamka
Mkoloni kaburu toka Zanzibar anaitawala Tanganyika kimabavu kama ilivyokuwa Africa kusini, watanganyika wanataabika kwa mateso ya mkoloni kaburu, muungano ufe Tanganyika iwe Nchi huru
 
Kuumwa ni ibada, kwani yeye asiumwe sio kiumbe hai. Tafuteni habari zenye mashiko!
Kuumwa ukiwa chini ya mateso manyanyaso ya ibirisi wa ccm si kutafuta Habari ni kuamini kuwa shetani wa ccm mmeanza kula uhai kidogo kidogo
 
Back
Top Bottom