Tetesi: Lissu anaumwa

Tetesi: Lissu anaumwa

Kwahiyo kama alipanga dereva kumuua Lissu na huyo dereva ndiye aliyesema pasiwepo na ulinzi siku ya tukio, ndiye aliyeamrisha vedio za CCTV zisiweze kufanyiwa uchunguzi? Kwanza panahitaji usalama wake ndio awepo kwasababu mtuhumiwa ni serikali. Lissu yupo ni lini aliyoitwa akahojiwa? Kuna mengi hutakuwa na la kujibu ila jitahidi kuwaza tu kidogo na sio kutumia propaganda.
Achana naye huyo hamnazo
 
Sasa yuko jela why umpe sumu?

Lissu kajimaliza mwenyewe…. Sababu ya mudomo

Kwa ujumla…. Kilichobaki sasa ni vita ndani ya ccm

Ndumuz mmejimaliza wenyewe
Kuthibitisha uongo wake kataa au kanusha hoja zake kwa ushahidi kwamba ni muongo. Vingenevyo unathibitisha chuki kwa Lissu iliyoshiba.
 
Siku nikifa nitaomba nifahamu wapi walipo hakina Hitler, Iddi, Magufuli, Mkapa, Khomeini, Osama. Samia nk.

GOD BLESS TUNDU LISSU
 
kwanini anamficha Dereva wake kama siyo kuogopa kuumbuka kwamba walipanga wenyewe yakaenda ndivyo sivyo
Hizi kwanini zako zina majibu na maswali magumu ambayo huwezi kujibu. Kwanini Serikali ilikamata waliovaa jezi kumuombea Lissu, kwanini Serikali iligoma kumlipia matibabu kama zilivyo taratibu kwa wabunge wote. Kwa nini serikali iling'oa CCTV camera sehemu aliyopigiwa risasi. Kwa nini serikali ulipiga marufuku wabunge wenzake na watumishi wa umma kumsalimia Nairobi. Ukishajibu maswali takwa ndipo uulize hoja ya dereva.
 
Back
Top Bottom