Tetesi: Lissu anaumwa

Tetesi: Lissu anaumwa

Hili suala nilihisi tu ipo siku ataugua! Hilo suala hata kama siyo leo lakini kwa hali ya ulemavu wa Lisu akiendelea kukaa Magereza ataugua tu hasa Presha na Kisukari, hatakiwi kabisa kukaa Magereza na kula vyakula vya mule.

Ukimuangalia Lisu, ni mnene sana. Najiuliza, hivi anafanyaje mazoezi ndani ya Magereza kwa sababu hawezi hata kutembea kwa haraka, tembea yake ni ya kujivuta vuta.

Mazoezi ya Lisu ni ya kutembea angalau muda mrefu pamoja na kudhibiti ulaji ili asipate kisukari na presha.

Swali, je, humo Magereza wanampa uhuru wa balanced diet na kufanya mazoezi? Mana Magereza wana ratiba yao ngumu ikizingatiwa mwanzoni alikuwa amewekwa kwa wafungwa wa kunyongwa!
Hivi akiitaji kufanyiwa surgery Samia atamruhusu au ndo kufurahi ili afee
 
Nakuomba mkuu wa mkoa umlinde spika tulia
GosTIfuasAAIgUX.jpeg
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Jela siyo pazuri-Lissu! Kwa kifupi jamaa kuchoka kukaa selo. Si alitaka awe kama Mandela. Mara amatumie Amsterdam &Partners LLP kaenda hadi Tume ya Haki za Binadamu ya UN ili Lissu aachiwe huru, kagonga mwamba.

Juzi wakamtumia David McAllister wa chama rafiki CDU kule Bunge la Ulaya. Guys, mchakato wa kisheria uchukue mkondo wake. Maridhiano hayana maana na pia hayapaswi kuwepo kwenye masauala ya sheria. Kama anaumwa aepelekwe hospital then arudishwe selo. Tuheshimu sheria.🙏🙏🙏
 
Jela siyo pazuri-Lissu! Kwa kifupi jamaa kuchoka kukaa selo. Si alitaka awe kama Mandela. Mara amatumie Amsterdam &Partners LLP kaenda hadi Tume ya Haki za Binadamu ya UN ili Lissu aachiwe huru, kagonga mwamba.

Juzi wakamtumia David McAllister wa chama rafiki CDU kule Bunge la Ulaya. Guys, mchakato wa kisheria uchukue mkondo wake. Maridhiano hayana maana na pia hayapaswi kuwepo kwenye masauala ya sheria. Kama anaumwa aepelekwe hospital then arudishwe selo. Tuheshimu sheria.
 
Lengo la ccm ni kumuua Lissu na hilo linathibitika kwa kupigwa risasi zaidi ya 30 na kuingia mwilini 16 na hadi leo hakuna kilichofanyika.
Mlimfukuza ubunge na kukataa kumtibu bila ya sababu za kisheria, mmemkamata na kumpa kesi ya uongo ili anyamaze na mummalize huko hilo ndio lengo la serikali na ccm yake.
kwanini anamficha Dereva wake kama siyo kuogopa kuumbuka kwamba walipanga wenyewe yakaenda ndivyo sivyo
 
Jela siyo pazuri-Lissu! Kwa kifupi jamaa kuchoka kukaa selo. Si alitaka awe kama Mandela. Mara amatumie Amsterdam &Partners LLP kaenda hadi Tume ya Haki za Binadamu ya UN ili Lissu aachiwe huru, kagonga mwamba.

Juzi wakamtumia David McAllister wa chama rafiki CDU kule Bunge la Ulaya. Guys, mchakato wa kisheria uchukue mkondo wake. Maridhiano hayana maana na pia hayapaswi kuwepo kwenye masauala ya sheria. Kama anaumwa aepelekwe hospital then arudishwe selo. Tuheshimu sheria.
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
tutatuia sindano
 

Attachments

  • sindano.mp4
    2.6 MB
Jela siyo pazuri-Lissu! Kwa kifupi jamaa kuchoka kukaa selo. Si alitaka awe kama Mandela. Mara amatumie Amsterdam &Partners LLP kaenda hadi Tume ya Haki za Binadamu ya UN ili Lissu aachiwe huru, kagonga mwamba.

Juzi wakamtumia David McAllister wa chama rafiki CDU kule Bunge la Ulaya. Guys, mchakato wa kisheria uchukue mkondo wake. Maridhiano hayana maana na pia hayapaswi kuwepo kwenye masauala ya sheria. Kama anaumwa aepelekwe hospital then arudishwe selo. Tuheshimu sheria.🙏🙏🙏
Ngombe wa mama
 
Back
Top Bottom