Tetesi: Lissu anaumwa

Tetesi: Lissu anaumwa

kwanini anamficha Dereva wake kama siyo kuogopa kuumbuka kwamba walipanga wenyewe yakaenda ndivyo sivyo
dereva wake unamtakia nini? Hali si shwari bora abaki hukohuko mafichoni ikiwa shwari atajitokeza
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Kuumwa ni ibada, kwani yeye asiumwe sio kiumbe hai. Tafuteni habari zenye mashiko!
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Aisee. Help Us Jah
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
NO REFORMS, NO ELECTION.
 
naomba isiwe kweli mungu wangu
Kwa ccm kila jambo linawezekana mkuu.
Kama katibu mkuu makala aliweza kuutangazia ulimwengu juu ya kununuliwa kwa MPOX na EBOLA unategemea nn hapo?
Makala yupo nje anadunda na hakuna taaruki yyte
 
Kilq siku mnaleta drama mpya baada ya kuona NRNE imepoa

At some point mlishamuua hasi makamu we tu wa rais

Ni lini mtajua na utu?

Kuna siku atajiua Halafu awaachie msala
We ni mtk tu
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Mamamaamamaaaaaeeeee ccm wote na wanaowasapoti
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Jua kali,pakikucha episode mpya
 
Samia keshafanya mambo take, moto utawasaidia kuuzima
Shida ya watanzania wengi wao wanapenda kudhania bila kufanya research, ukikamatwa utaenda kujibu nini mahakamani??? Una ushahidi kama ni Rais Samia ndie aliemuuwa mwenyekiti wako???
 
NrNe haijapoa,
Tumewazuia kufanya shughuli za siasa kwa muda, so tusijifariji kwamba slogan yao imepoa. Hawa jamaa wakirudi mtaani tutakonda. Kiukweli katiba na mifumo inatubeba sana, kwa hilo tusiongope...😀
 
Jela siyo pazuri-Lissu! Kwa kifupi jamaa kuchoka kukaa selo. Si alitaka awe kama Mandela. Mara amatumie Amsterdam &Partners LLP kaenda hadi Tume ya Haki za Binadamu ya UN ili Lissu aachiwe huru, kagonga mwamba.

Juzi wakamtumia David McAllister wa chama rafiki CDU kule Bunge la Ulaya. Guys, mchakato wa kisheria uchukue mkondo wake. Maridhiano hayana maana na pia hayapaswi kuwepo kwenye masauala ya sheria. Kama anaumwa aepelekwe hospital then arudishwe selo. Tuheshimu sheria.🙏🙏🙏
Wewe ni wasted sperm
 
Kwani yeye ni Jiwe asiumwe? Huwa nawashangaa Chadomo viongozi Wakiwa wagonjwa wanashangiliwa na kuona kwamba ni jambo la ajabu Kiongozi kuumwa.
Kuumwa ukiwa chini ya uonevu manyanyaso ya ibirisi ccm ni kuumwa kwa kusababishwa na ccm
 
Anazo nyingi,na JF hawawezi futa akaunti yake, mrengo huo ndiyo mrengo pendwa na JF,na ukute ni mode pia
Hii kituinaudhi sana hapa JF maana JF inatakiwa uwe mtandao wa kupata habari sahihi
 
Back
Top Bottom