Tetesi: Lissu anaumwa

Tetesi: Lissu anaumwa

Me naona kama anapoteza mda wake kuwapambania watu wasiojielewa angevuta chake awaache watz wanyoshwe na ccm.
Mwafrika mbele ya tumbo kukua haoni tabu hii ipo Africa nzima unakufa unaacha familia yako inateseka kwa kuzipigania maiti.

Acha watz wanyooshwe bado sana wakichoka hawatalazimishwa kuamka
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Hili suala nilihisi tu ipo siku ataugua! Hilo suala hata kama siyo leo lakini kwa hali ya ulemavu wa Lisu akiendelea kukaa Magereza ataugua tu hasa Presha na Kisukari, hatakiwi kabisa kukaa Magereza na kula vyakula vya mule.

Ukimuangalia Lisu, ni mnene sana. Najiuliza, hivi anafanyaje mazoezi ndani ya Magereza kwa sababu hawezi hata kutembea kwa haraka, tembea yake ni ya kujivuta vuta.

Mazoezi ya Lisu ni ya kutembea angalau muda mrefu pamoja na kudhibiti ulaji ili asipate kisukari na presha.

Swali, je, humo Magereza wanampa uhuru wa balanced diet na kufanya mazoezi? Mana Magereza wana ratiba yao ngumu ikizingatiwa mwanzoni alikuwa amewekwa kwa wafungwa wa kunyongwa!
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
God forbid😩😩😩😩
 
Kuna umuhimu wa kulipiza kisasi hata kwa kudhuru wanae maana yeye kuua wenzake haoni shida.
 
Labda wa type ya mama yako

I hate those dudes as much as I hate drama za wanasiasa uchwarq mapapasi mnaozusha ujinga kila siku mitandaoni
Una mzigo huko nyuma kama wa Muwinjakoo wanakufaidi ndo maana uko VITU maalumu dodoomaa
 
Tafuta mume uwe unalala uache kuwaza upuuzi
Lengo la ccm ni kumuua Lissu na hilo linathibitika kwa kupigwa risasi zaidi ya 30 na kuingia mwilini 16 na hadi leo hakuna kilichofanyika.
Mlimfukuza ubunge na kukataa kumtibu bila ya sababu za kisheria, mmemkamata na kumpa kesi ya uongo ili anyamaze na mummalize huko hilo ndio lengo la serikali na ccm yake.
 
Back
Top Bottom