Tetesi: Lissu anaumwa

Tetesi: Lissu anaumwa

Mbowe anatamani Lisu afe hata mda huu arejee chadema kwa njia haramu za kishetani kati ya watu wenye Roho mbaya kwa lisu ni Mbowe kisha ibirisi wa ccm
Mbowe ni mshenzi sana kati ya washenzi mbowe ndiye aliye kuwa ana shirikiana na ccm waliokuwa wanampinga JPM kuua baadhi ya wanachadema ili kumchafua jpm ...kumbukeni kisa cha mbowe kuanguka na kuteguka akiwa na malaya kisha akatangazia dunia kuwa kapigwa na kikosi kazi cha JPM
 
NrNe haijapoa,
Tumewazuia kufanya shughuli za siasa kwa muda, so tusijifariji kwamba slogan yao imepoa. Hawa jamaa wakirudi mtaani tutakonda. Kiukweli katiba na mifumo inatubeba sana, kwa hilo tusiongope...😀
Huku sio tu kusema ukweli bali kupasuka ukweli
 
Lakini watanzania yaani mgonjwa mahututi anaangaliwa gerezani?

Ndani ya magereza kuna ‘intensive care unit’ ya kuangalia wagonjwa mahututi?

Au mahututi wanatulizwa na pain killers tu.

Akili zetu zinatutosha wenyewe, watanzania; so gullible.
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA

Huyo Jamaa akienda / akifariki Ccm hawataamini maisha yao yote kwamba elastic has limit
 
Hizi kwanini zako zina majibu na maswali magumu ambayo huwezi kujibu. Kwanini Serikali ilikamata waliovaa jezi kumuombea Lissu, kwanini Serikali iligoma kumlipia matibabu kama zilivyo taratibu kwa wabunge wote. Kwa nini serikali iling'oa CCTV camera sehemu aliyopigiwa risasi. Kwa nini serikali ulipiga marufuku wabunge wenzake na watumishi wa umma kumsalimia Nairobi. Ukishajibu maswali takwa ndipo uulize hoja ya dereva.
Kwanini aumie mguu wa kulia wakati risasi zulipigwa kushoto
 
Habari kama hii haiwezi kuwa SIRI, kiasi kwamba hata CHADEMA wenyewe wasiwe na taarifa.

Sasa hivi ni masaa mangapi tokea mada hii ianzishwe kama tetesi; na tetesi itaanzia wapi kabla ya CHADEMA kama chama kuifahamu?
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Unapotoa habari ya namna hii, unakuwa na jukumu la kutafuta ukweli ulivyo, ili kuondoa taharuki kwa watu wanaohusika.
Hadi sasa huna 'update' yoyote juu ya taarifa ya "tetesi" uliyoona uiwasilishe haraka haraka?

Kama "chanzo chako ni cha uhakika" kama usemavyo, inakuwaje kisiweze kutoa mrejesho wa hali sahihi katika muda uliopita hadi sasa?
Hii haiwezi kuwa habari ya kujificha kama inao ukweli ndani yake.
 
Jifanye mgonjwa, jilegeze, sisi tutasema wamekupa sumu, legeza macho, macho yawe mekundu, legeza mdomo weka upande, toa udenda kidogo, ongea tararibu kama mgonjwa, sema moyo, figo, ini, mapafu, kongosho, mbavu, tumbo, miguu, mikono kila mahali una maumivu, hosp ukifika sema huamini madakari, kataa kula, sema macho hayaoni vizuri.

Dunia nzima itaanza kusema Serikai ya CCM inataka kumua Lissu..!!

Hivi CHADEMA mna tafuta nini haswa? Kwanini mna tengeneza movie za kijinga hivi nyie, NRNE imepoaa, sasa mnaanza na drama ya sumu, hivi hizi siasa chafu za kijinga mtaacha nyie?
 
Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.
Inakubidi wewe mwenyewe uanze kujitafakari kwa kukimbia na taarifa za namna hii kila mara.

Unaweza sasa kuwa unatumiwa bila ya mwenyewe kujitambua!
 
Jifanye mgonjwa, jilegeze, sisi tutasema wamekupa sumu, legeza macho, macho yawe mekundu, legeza mdomo weka upande, toa udenda kidogo, ongea tararibu kama mgonjwa, sema moyo, figo, ini, mapafu, kongosho, mbavu, tumbo, miguu, mikono kila mahali una maumivu, hosp ukifika sema huamini madakari, kataa kula, sema macho hayaoni vizuri.

Dunia nzima itaanza kusema Serikai ya CCM inataka kumua Lissu..!!

Hivi CHADEMA mna tafuta nini haswa? Kwanini mna tengeneza movie za kijinga hivi nyie, NRNE imepoaa, sasa mnaanza na drama ya sumu, hivi hizi siasa chafu za kijinga mtaacha nyie?
Vile vile kama wanavyo tengeneza akina Mdude na wengi wengi; au siyo?
Lissu huyo huyo, alikwisha jiiga risasi 0 mwilini mwake; sasa atashindwa kitu gani kujilegeza tu, kama unakokuelezea wewe!
WaTanzania wanajuwa jinsi Samia Suluhu Hassan alivyo mwigizaji mzuri katika maswala mengi, hata yaliyo ya muhimu zaidi kwa taifa hili; sasa haa unataka kuwaaminisha kwamba kuna mwigizaji mzuri zaidi ya yeye? Wewe hata hivyo visenti kadhaa unavyotuiwa inaonyesha hustahili kuvi ata
 
Vile vile kama wanavyo tengeneza akina Mdude na wengi wengi; au siyo?
Lissu huyo huyo, alikwisha jiiga risasi 0 mwilini mwake; sasa atashindwa kitu gani kujilegeza tu, kama unakokuelezea wewe!
WaTanzania wanajuwa jinsi Samia Suluhu Hassan alivyo mwigizaji mzuri katika maswala mengi, hata yaliyo ya muhimu zaidi kwa taifa hili; sasa haa unataka kuwaaminisha kwamba kuna mwigizaji mzuri zaidi ya yeye? Wewe hata hivyo visenti kadhaa unavyotuiwa inaonyesha hustahili kuvi ata

Kwa akili ndogo sana tu, hivi kesi ya Lissu, dunia nzima inajua, iko live kwenye mitandao mbali mbali, narudia nani adhubutu kumpa sumu ili afe? Hivi issue kubwa kama hii, alafu apewe sumu? Huu ni uongo mkubwa na wa wazi kuichafua Serikali ya CCM, na hata wafuasi na wana chama wa Chadema wanajua hilo haliwezekani, sababu kuu Lissu yupo chini ya Magereza na Magereza ipo chini ya Serikali ya CCM, sasa kwa lipi hasa serikali ijichafue kwa kiwango kikubwa hivyo eti kumuwekea sumu Lissu?

Na uzuri, Serikali imekanusha hizo habari, na kukataa, kuwa hakuna kitu kama hicho, nachosema hapa, hii ni mbinu ya CHADEMA kuichafua Serikali kwa nia ovu tu, basi kutafuta attention tu ya public
 
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.

Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.

Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.

Mto wa Mbu
Illinois -USA
Hawa watu waombe awe mzima , vinginevyo sijui nisemeje, Madaraka hayawezi kuwa chanzo cha mateso ya watu , kuonea watu, hivi yupo aliezikwa na madaraka , kwa hili watajua hawajui asema Bwana
 
Back
Top Bottom