digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,141
- 22,023
Kwani chadema ndo wameshikiria, chadema Wana magereza!? Unajua unapotetea hoja hakikisha akili yako iko sawaMmeshafanya yenu Ili muisingizie serikali.
Kwani chadema ndo wameshikiria, chadema Wana magereza!? Unajua unapotetea hoja hakikisha akili yako iko sawaMmeshafanya yenu Ili muisingizie serikali.
Comment ya hovyo kabisa..!Tafuta mume uwe unalala uache kuwaza upuuzi
Huna akili, kachochee maharage jikoni hukokama watu wanaweza kufanya yao na serikali ipo na mtu aliye fanyiwa yuko chini ya serikali
sasa iyo serikali ama upumbavu
kwa akili yako unaona unaitetea serikali kumbe una idhalilisha tu na kuivua nguo kuwa haina nguvu wala uwezo wa kulinda watu walio chini yake
Wewe Inaonekana ni mtoto wa 2010Kwani chadema ndo wameshikiria, chadema Wana magereza!? Unajua unapotetea hoja hakikisha akili yako iko sawa
Kama si kweli, tutaomba JF wafute account yako maana umezidi kwa uzushiNi usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.
Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.
Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Frack youMmeshafanya yenu Ili muisingizie serikali.
Labda wa type ya mama yakoMwijaku na Baba levo SI ndo watu wa type yenu nyie wajinga wa mbogamboga
Sasa yuko jela why umpe sumu?Muwe Mnatumiwa Akili kuandika.
LISSU aliwahi sema, anafatiliwa Kwa lengo la kuuwawa, Mkasema upuuzi upuuzi, Kisha akapigwa Risasi kweli
Kwann suala la Sumu lisiaminiwe ??.
TakatakaNi usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.
Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.
Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Askali magereza ni kitengo cha CDM?Mmeshafanya yenu Ili muisingizie serikali.
Basi JF wafute na akaunti zote zenye tetesi.Kama si kweli, tutaomba JF wafute account yako maana umezidi kwa uzushi
Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.
Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.
Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Khaa ndo maana ya tetesi we vipi?Kama si kweli, tutaomba JF wafute account yako maana umezidi kwa uzushi
Una Mungu wewe?Mmeshafanya yenu Ili muisingizie serikali.
Dah! Naikumbuka kauli ya Mtikila "...Mpaka wetu na Zanzbar ni bahari"Ni usiku hapa Illinois -USA, nimeshtuka sana baada y kupata habari Kwa mtu ninaemwamini sana.
Ni hivi Tundu Lissu ni mgonjwa Hali yake imebadilika kuanzia saa Moja za jioni saa za Tanzania. Magereza wamepanick wanafanya kila liwezalo Ili Hali yake iwe normal.
Viongozi wa Chadema najua mtakuwa mmepewa hizi habari , I hope Leo mtafatilia ,but Lissu ni mgonjwa.
Mto wa Mbu
Illinois -USA