Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Basi huna akiliMiaka yangu chukua umri wako jumlisha na wa mkeo halafu gawanya kwa mbili jumlisha na umri wa first born wako
Basi huna akiliMiaka yangu chukua umri wako jumlisha na wa mkeo halafu gawanya kwa mbili jumlisha na umri wa first born wako
Nyakati gani Kamanda, mwenyekiti kashindwa kuleta mabadiliko inabidi aondoke.Wewe kada punguza fitina. Hili jambo Mbowe ameliongelea leo. Cdm ni mali ya waTz na Mbowe ni mwenyekiti wa tatu tangu kuanzishwa kwake. Tanu/Ccm wana miaka zaidi ya sitini na Samia ni mwenyekiti wa sita. So mambo mengine ni maswala ya nyakati .
Ni wivu tu.CCM ndiyo hawataki Mbowe awe Mwenyekiti
Unataka kusemaje mkuu? Well, kuna haja ya kujenga taasisi imara na sio miamba ya watu imara ili kuwaandaa wengine kuchukua uongozi linapotolea la kutokeaKatika vetting bora Kuwai kufanyika Tanzania ni hii ya mbowe kuwa mwenyekiti
Other wise chadema ingekuwa tayari ni historia.
Kama ilivyo kwa CUF, NCCR, TADEA, UDP na ACT
Aondoke bila vikao na sababu ?!. Huko kwenu ubongo mnamuachia nani wakati wa ku urgue. Sababu za Samia kukalia hicho kiti ni kifo cha mwendazake . Vinginevyo ....Nyakati gani Kamanda, mwenyekiti kashindwa kuleta mabadiliko inabidi aondoke.
Kamanda usie na akili unaleta mifanyo ya enzi za chama kimoja.Kwa miaka mingapi Nyerere alikua Mwenyekiti wa CCM? Na mingapi alikua mwenyekiti wa TANU?
Kinachoangaliwa Chadema ni historia na mienendo yako ndani ya Chama. Huwezi kuwa rafiki na mtu kama Ndugai halafu eti uombe uongozi wa juu kwenye chama upewe.je kwanini kila aonyeshaye nia ya kuuhitaji uenyekiti hutimuliwa?
Tunajifunza kutokana na historia ili kupata kesho bora. Muscle Mbowe ajenge Chama kumbe yeye si wa kwanza.Kamanda usie na akili unaleta mifanyo ya enzi za chama kimoja.
Huna akili kaa kimya. Kujitalisha kupitia chama chetu ndio kujenga chama?Tunajifunza kutokana na historia ili kupata kesho bora. Muscle Mbowe ajenge Chama kumbe yeye si wa kwanza.
Watu wasio na hoja ni wazuri kwa matusi.Huna akili kaa kimya. Kujitalisha kupitia chama chetu ndio kujenga chama?
Kaaa kimya bwege weweHuko kwenye chama chenu CCM mmeshindwa kuelewana?
Bahati nzuri sijawahi kuokota makopo kama wanaoBasi huna akili
Huna akili kaa kimya.Watu wasio na hoja ni wazuri kwa matusi.
Kamanda nakupuuza.We ni dada Mbowe siyo saizi yako tafuta tu hapo lumumba watakufikisha kunako