Lissu ajibu tuhuma za kunyimwa gari pamoja na fedha na Rais Samia, asema hajawahi kuomba 'favour' yoyote kutoka kwake

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,968
12,289
FB_IMG_1715877303033.jpg

Tundu Lissu amejibu tuhuma zilitolewa dhidi yake kwamba anayoyasema kuhusu Rais Samia na mtoto wake Abdul kutoa pesa ili kuvuruga uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Majibu hayo yamekuja baada ya member wa JamiiForums.com kuandika andiko likiwa na madai hayo

Pia soma: Inadaiwa hasira za Lissu zinatokana na kunyimwa gari na Rais Samia

Lissu amejibu baada ya kutafutwa na JamiiForums, ambapo amesema:

"Mimi sijawahi kuomba favour yoyote, narudia, yoyote, iwe ya gari au kitu kingine chochote kutoka kwa Rais Samia.

"Kitu pekee ambacho nimekidai kwake ni haki zangu za:
(a) Kupatiwa passport nyingine baada ya mwanzo kuibiwa;
(b) Kulipwa kiinua mgongo kwa muda niliofanya kazi ya Ubunge,
(c) Kulipwa stahiki za matibabu yangu baada ya shambulio la Sept 2017.

"Katika madai hayo, (a) na (b) yalitekelezwa kabla ya mimi kurudi nchini mapema mwaka jana, na nilisema hivyo hadharani. Madai ya fidia ya matibabu hayajalipwa hadi hivi sasa na nimesema hivyo hadharani mara nyingi.

"Tuhuma za rushwa hazina uhusiano wowote na kuvunjika kwa maridhiano. Mimi binafsi nimeanza kuzungumzia hadharani juu ya kukwama kwa maridhiano mapema kabisa ya mwaka jana.

"Nimezungumzia rushwa za Abduli na mama yake wiki mbili zilizopita. Wanaoamini kuna uhusiano wowote kati ya masuala haya hawajatumia vichwa vyao sawa sawa.

"Kuhusu ushahidi wa rushwa za Abduli na mama yake, ijapokuwa rushwa huwa haitolewi risiti, kuna ushahidi wa kutosha wa uwepo wa rushwa na mwenye macho haambiwi tazama!"

=====
Pia soma:
- Tundu Lissu atahadharisha uchaguzi ndani ya chama kuingiliwa na fedha za Rais Samia na mwanae Abdul
 
Tundu Lissu akijibu tuhuma zilitolewa dhidi yake kwamba anayoyasema kuhusu Rais Samia na mtoto wake Abdul kutoa pesa ili kuvuruga uchaguzi ndani ya CHADEMA, amesema;

Pia soma: Inadaiwa hasira za Lissu zinatokana na kunyimwa gari na Rais Samia

"Mimi sijawahi kuomba favour yoyote, narudia, yoyote, iwe ya gari au kitu kingine chochote kutoka kwa Rais Samia.

"Kitu pekee ambacho nimekidai kwake ni haki zangu za:
(a) Kupatiwa passport nyingine baada ya mwanzo kuibiwa;
(b) Kulipwa kiinua mgongo kwa muda niliofanya kazi ya Ubunge,
(c) Kulipwa stahiki za matibabu yangu baada ya shambulio la Sept 2017.

"Katika madai hayo, (a) na (b) yalitekelezwa kabla ya mimi kurudi nchini mapema mwaka jana, na nilisema hivyo hadharani. Madai ya fidia ya matibabu hayajalipwa hadi hivi sasa na nimesema hivyo hadharani mara nyingi.

"Tuhuma za rushwa hazina uhusiano wowote na kuvunjika kwa maridhiano. Mimi binafsi nimeanza kuzungumzia hadharani juu ya kukwama kwa maridhiano mapema kabisa ya mwaka jana.

"Nimezungumzia rushwa za Abduli na mama yake wiki mbili zilizopita. Wanaoamini kuna uhusiano wowote kati ya masuala haya hawajatumia vichwa vyao sawa sawa.

"Kuhusu ushahidi wa rushwa za Abduli na mama yake, ijapokuwa rushwa huwa haitolewi risiti, kuna ushahidi wa kutosha wa uwepo wa rushwa na mwenye macho haambiwi tazama!"

=====
Pia soma:
- Tundu Lissu atahadharisha uchaguzi ndani ya chama kuingiliwa na fedha za Rais Samia na mwanae Abdul
Lissu anzisha chama chako ,mzee mbowe na genge lake (Lema ) wanatumia umaarufu wako kuendelea kupalilia familia zao.
 
Tundu Lissu amejibu tuhuma zilitolewa dhidi yake kwamba anayoyasema kuhusu Rais Samia na mtoto wake Abdul kutoa pesa ili kuvuruga uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Majibu hayo yamekuja baada ya member wa JamiiForums.com kuandika andiko likiwa na madai hayo

Pia soma: Inadaiwa hasira za Lissu zinatokana na kunyimwa gari na Rais Samia

Lissu amejibu baada ya kutafutwa na JamiiForums, ambapo amesema:

"Mimi sijawahi kuomba favour yoyote, narudia, yoyote, iwe ya gari au kitu kingine chochote kutoka kwa Rais Samia.

"Kitu pekee ambacho nimekidai kwake ni haki zangu za:
(a) Kupatiwa passport nyingine baada ya mwanzo kuibiwa;
(b) Kulipwa kiinua mgongo kwa muda niliofanya kazi ya Ubunge,
(c) Kulipwa stahiki za matibabu yangu baada ya shambulio la Sept 2017.

"Katika madai hayo, (a) na (b) yalitekelezwa kabla ya mimi kurudi nchini mapema mwaka jana, na nilisema hivyo hadharani. Madai ya fidia ya matibabu hayajalipwa hadi hivi sasa na nimesema hivyo hadharani mara nyingi.

"Tuhuma za rushwa hazina uhusiano wowote na kuvunjika kwa maridhiano. Mimi binafsi nimeanza kuzungumzia hadharani juu ya kukwama kwa maridhiano mapema kabisa ya mwaka jana.

"Nimezungumzia rushwa za Abduli na mama yake wiki mbili zilizopita. Wanaoamini kuna uhusiano wowote kati ya masuala haya hawajatumia vichwa vyao sawa sawa.

"Kuhusu ushahidi wa rushwa za Abduli na mama yake, ijapokuwa rushwa huwa haitolewi risiti, kuna ushahidi wa kutosha wa uwepo wa rushwa na mwenye macho haambiwi tazama!"

=====
Pia soma:
- Tundu Lissu atahadharisha uchaguzi ndani ya chama kuingiliwa na fedha za Rais Samia na mwanae Abdul
😂😂😂😂😂😂 unatoa tuhuma za kutuhuma chama chako na ushahidi huna hivi una akili kweli wewe hii ishu ya kunyimwa gari inakuumiza sana.
 
CCM chama changu lini tutaleta katiba mpya!!?

Lini tutashtaki majizi na mabadhirifu ndani ya chama!?kwa mujibu wa report ya CAG!!?

Lini tutatatua keto za muungano zote!!?

Tujibu hoja za lisu tuache vioja!
Watu wenye akili kama nyinyi hamna nafasi uko kwenye chama Cha mboga mboga ? Maana Kuna wajinga kama Lucas tu au.
 
Kumekucha 🐼🔥

Yawezekana Chadema tatizo ni Kubwa kuliko tunavyofikiri

Hasa nikikumbuka Polepole alivyomlipia faini Katibu mkuu wa Chadema by then Dr Mashinji

Na Shujaa akamlipia mchungaji Msigwa 😂
Hayo ni maoni yako. Mashinji alikuwa pandikizi la CCM hiyo sote tunajua. Na Msigwa ana undugu wa ndoa na Magufuli. No surprise there. Tatizo ndani ya Chadema is manufactured by the likes of you.
 
Kumekucha 🐼🔥

Yawezekana Chadema tatizo ni Kubwa kuliko tunavyofikiri

Hasa nikikumbuka Polepole alivyomlipia faini Katibu mkuu wa Chadema by then Dr Mashinji

Na Shujaa akamlipia mchungaji Msigwa 😂
Haihusiani kabisa yaani! hivi wewe una ubongo huu huu wa binadamu au umewekewa wa nguruwe? una uwezo wa chini sana !
 
Lisu Mbona hakujibu chap chap tuhuma Hadi afuatwe na jamii forums? Mbona kachukua muda mrefu mmmmmmmmm mwenye masikio haambiwi sikia
 
Hayo ni maoni yako. Mashinji alikuwa pandikizi la CCM hiyo sote tunajua. Na Msigwa ana undugu wa ndoa na Magufuli. No surprise there. Tatizo ndani ya Chadema is manufactured by the likes of you.
Mfukuzeni Msigwa kama hakubaliki ndani ya hiki chama cha wachagga
 
Back
Top Bottom