Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,677
- 26,999
Huku Mwanza Chadema hawezi kutoboa hata kidogo.Arusha tunajua mnasupport watu wenu as wabunge wengi ni kutoka huko.
Mwanza watakuja kuwasikiliza as Wasukuma ni wastaarabu,watakuja kuona show ya bure then kura watampigia Magufuli,lake zone hamtoboi.
Magufuli anapendwa huko hatari.