binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,905
- 22,298
Ni kweli.Kweli kabisa nakumbuka aliwafanya promo kwenye tv yake Sana pia baada ya Magufuli kushinda mashabiki wa CCM wakamzomea kwenye event ya kuapishwa Magu.
Ni kweli.Kweli kabisa nakumbuka aliwafanya promo kwenye tv yake Sana pia baada ya Magufuli kushinda mashabiki wa CCM wakamzomea kwenye event ya kuapishwa Magu.
Kwani huko mikoani wanaume huwa wanafanya nini kuonesha kuwa ni majasiri?Wanaume wa Dar kama Dar ni waoga sana,asikwambie mtu mkuu.
Hawaelewi waambie..wanadhani kila mtu mjinga Kama wao katika chama Chao tu kinawashinda kukiendesha..hahahah hawawezi kuhoji chochote na ukihojihoji unaambiwa no msaliti na umetumwa..stupiddddddd....Wakazi wa jiji la Dar es Salaam sana akili tofauti unavyo fikiria..
2015 General electionLeo nimeona niliamkie jiji Dar es Salaam.
Linapokuja suala la kuleta mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi majiji makuu ya nchi huwa ni kitovu kwa sababu huwa yana wakazi wengi walioelimika na kupata exposure ya kutosha tofauti na miji mingine katika nchi husika.
Hali ni tofauti nchini Tanzania kwani majiji ambayo yanaonekana ni kitovu cha mabadiliko ni majiji yenye hadhi ya pili na siyo jiji kuu la Dar es Salaam.
Amsha amsha inayofanywa na wakazi wa majiji ya Arusha, Mbeya, Mwanza na hata miji midogo kama Kahama na Shinyanga licha ya kuwa na idadi ndogo ya watu ukilinganisha na Jiji la Dar es Salaam is way too far.
Pia ni ajabu ya karne Jiji kama la Dar es Salaam kuendelea kuwa na wabunge wa Chama kilichozeeka kama CCM achilia mbali kuwepo na wakazi ambao bado kwao CCM ni kimbilio. Dar mnakwama wapi?
Mfano mdogo wa hivi karibuni ni ukweli ulio wazi idadi ya wakazi wa Dar es Salaam waliojitokeza kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA haikuridhisha. Sasa tazama Arusha ilivyompokea Tundu Lissu kwenye kampeni jana.
Hata linapokuja suala la haki kwa watetezi wenu wa haki, mfano kupigwa risasi Tundu Lissu, kupotea kwa akina Ben Saanane, Azori Gwanda, kupigwa na kudhalilishwa kwa akina Halima Mdee na Jeshi la Magereza, tulitarajia mjitokeze kwa wingi kupinga uonevu wa aina hii. Lakini uoga umewazidi.
DAR ES SALAAM AMKA UONGOZE MAPAMBANO, ACHA UOGA.
DAR ES SALAAM UNAHITAJI MAISHA BORA NA UHURU KULIKO ILIVYO SASA UNAONEKANA KAMA ZIZI LA NG'OMBE, UCHAFU KILA MAHALI, MITARO MICHAFU, UKOSEFU WA MAJI SAFI NA SALAMA, MIPANGO MIJI YA HOVYO KULIKO MAJIJI YOTE DUNIANI. AU UMERIDHIKA NA VIDARAJA VYA UBUNGO NA MFUGALE? DAR TEMBEA UONE NDIPO UTAJUA HUJUI NA WATAWALA WANAKUHADAA.
YOTE HAYO NI HAKI YAKO MAANA UNALIPA KODI KULIKO MIJI YOTE NCHINI TANZANIA
Siku njema
Kwahiyo 2015 uchaguzi ulikuwa wa haki ndiyo maana upinzani ulichukua majimbo mengi?2015 General election
Kibamba upinzani
Kawe upinzani
Ubungo upinzani
Kinondoni upinzani
Ukonga upinzani
Temeke upinzani
Upinzani ulichukua majimbo 6 kati ya 8 Dar,hapa Dar ni kitovu cha upinzani na mwaka huu nadhani CCM itapata moja tu la ILALA au ikakosa yote(kama uchaguzi utakuwa huru na wa haki)
Ubungo upinzani
Mabeberu wamelipa 400+ trillions..wadai uone kazi..nyamnafuWale wanatumia akili kufikiri.
Lisu alisema mikataba ya madini haiwezekani tutaiweka nchi pabaya JPM ingawa sio mwanasheria akaona hapana akajitoa kwa nguvu zote na moyo wote kuitetea Tz dhidi ya mabeberu na akashinda.
Lissu mpaka leo hapendi jinsi Tz tulivyoamua kupambana na CORONA kivyetu vyetu kila siku analia tufate amri za wazungu!
JAMANI KWA MWENYE AKILI TIMAMU YEYOTE JE HUYU MTU NI WAKUPEWA MIHURI YA NCHI?
MAGUFULI4LIFE.
Tatizo ni kwamba hata wewe ukitoka huko kwenu na kuja kufanya ujinga wako basi wanasema watu wa Dar.Watu wa dar wanawaza ujinga tu kwao wanaona ndio ujanja,kushabikia Marium birian,Gigy money, kijana wa dar akinywa windihoek beer na akimiliki Brevis na smart phone za kichina anaona dunia yote yake
buenas noches binti kiziwi hit my PM when you have time.RIP Dr. Mengi.
Immancipate yourselves from mental slaveryCCM haiondoki madarakani leo, kesho wala kesho kutwa. Badilisheni plan tu.
Mbona dada zenu wote wanaondoka shamba huko kwenu wanawapekea nyama wanaume wa dsm?DSM NI KILA KITU WANA MATATIZO NAYO,WAO NDIYO HAWANA NGUVU ZA KIUME,WAO NDIYO WALAINI,NDIYO MKOA UNAONGOZA KWA KUSAIDIWA WAKE ZAO NA WANAUME WENGINE YAANI WAO KILA KITU WAKO NYUMA.
WANAUME WA DSM NDIYO WANONGOZA KWA KUJICHUBUA NA KUWA SALON,WANAUME NI WAVIVU HAWATAKI KAZI YAANI KWA KIFUPI DSM NI COLLECTIONS YA MASWAIBU NI SHIDA KILA KITU.