fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,425
- 7,976
usicheze na yangaKama kweli ulisoma vyema Somo la Hisabati Shuleni Kwako na ukiwa ni Mtafiti na Mchambuzi wa Masuala Mtambuka, Mdadisi kama GENTAMYCINE ukiangalia tu kwa sasa Msimamo ulivyo wa Kundi D la CAFCL utakubaliana nami kuwa Wawili wa Juu na ambao ndiyo wanajua hasa Mpira na Mikakati ndiyo watakaopita / watavuka Kuingia hatua ya Pili.
Ukiuchukia huu Uzi jua huna Akili Ok?