Lijue tatizo jipya la kisaikolojia ambapo mtu aliyepata "mafanikio" kwenye maisha yake huamini kwamba watu wake wa karibu wanamchukia

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,120
27,125
Wewe unaesoma Uzi huu bila shaka :

1. Umewahi KUKUTANA na mtu mwenye tatizo kama hili. Au

2. Wewe mwenyewe una tatizo hilo ila hujui kama upo nalo.

Tatizo hili mara nyingi humkuta mtu ambae amepiga hatua kidogo kwenye maisha au amepata breakthrough kiuchumi jambo ambalo yeye analitafsiri kama mafanikio..


Mtu huyu ataanza kuamini kwamba watu waliomzunguka hususani watu wake wa karibu ambao yeye ana amini amewazidi ki maisha, wanamchukia ama wanamuonea wivu and he will start to act and behave accordingly.

Ninayo mifano hai miwili:

1. Mpangaji wetu mwaka 2003.

Huyu jamaa alikuwa ndo kamaliza shule pale udsm. Alikuja kupanga nyumbani kwetu. Mwanzoni maisha yake yalikuwa magumu sana alikuwa analala chini na alidumu katika hali hiyo for almost 2 months. Mbaya zaidi wapangaji wenzake walikuwa wanamtangaza kwa watu kwamba analala chini.

Alipopiga buu baa alinunua gari halafu pale kwenye chumba na sebule alichopanga akaweka tv Kali fenicha na Mziki mnene..

Mbaya zaidi akawa anapiga muziki kwa sauti ya juu. Wapangaji wenzake wakimwambia apunguze sauti akawa anawafanyia ukaidi. Wakamshitaki kwa mshua( baba mwenye nyumba) ambae yeye alikuwa haishi hapo.

Mshua alipozungumza na jamaa, jamaa akasema wanamuonea wivu tu.

Baada ya tabia ya jamaa kuendelea mshua akampa notice. Jamaa kaondoka na kwenda kupanga sehemu nyingine huku akiwa ana amini kwamba amefukuzwa kwenye nyumba kwa sababu watu wanamuonea husda " mafanikio" yake na sio kwa sababu ya usumbufu wake kwa majirani.


Mfano wa pili: my own brother.


1. He is my own brother from the SAME -FATHER MOTHER.

2. Tumezaliwa tumbo moja ila mimba mbalimbali.


3. He is the first born in our family. He was born in the 70s. Mimi namfuata mara ya 5 am the last born in the family.

4. Alikuwa mtu wa kwanza kwenye familia yetu na partly kwenye ukoo wetu;

I. Kufika chuo kikuu
ii. Kununua gari.
Iii. Kutoka nje ya Tanzania ( sio nje ya Afrika/ hajawahi toka nje ya Afrika).

iii. Kujenga nyumba.

iv. Kujenga nyumba ukweni( he will be the first and the last to do this kind of abomination)


Kwa sababu hiyo jamaa kwa muda mrefu sana amekuwa akiamini sana kwamba yeye ndio mtu mwenye mafanikio kuliko watu wote kwenye familia yetu na partly ukoo wetu.


Na amekuwa aki behave accordingly. Hata tembea yake akija kwenye vikao na matukio ya familia na ukoo huwaga anatembea kama mtu ambae ametoka kucheza mpira wa ndondo amechoka jambo ambalo tafsiri yake kisaikolojia ni kwamba anaamini ameshayamaliza na kwamba nyinyi watu wengine mnacheza...

Watu wanamchora wanamuona to bishoo kwa sababu some of us have more money than him.

Kama wewe unaesoma Uzi huu upo kwenye kundi hilo please wacha mara moja tabia hiyo kwa sababu mwisho wa siku watu wenye tatizo hili huwaga wanaishia kuwa wachawi hasa pale unapoona watu ambao unadhani wewe unapesa kushinda wao, wana mafanikio makubwa kushinda wewe and they dont act strangely as you do.

Ogopa sana mchawi wa namna hii kwa sababu yupo tayari hata kuchinja n'gombe mmoja kila siku ili usifanikiwe...
 
Wewe tu una chuki nae ktk uandishi wako coz hapo kwenye kutoka nje ya nchi umesisitiza sana kuwa hajatoka nje ya Afrika, hii ni dalili kwamba wewe na nduguzo mnamfuatilia sana na mnachukia mafanikio yake.
Kila mwenye pesa ana mwendo wa pesa, hawezi tembea kama muuza kahawa sababu anajiamini.
Huyo mpangaji wenu ni limbukeni wa mafanikio madogo ila mzee wako nae alikisea ktk mikataba ya wapangaji ktk kuichapa, lazima kuwa na masharti kadhaa ya wapangaji ili waweze kuishi pamoja likiwepo hilo la kutokera wengine kwa kufungua radio kwa sauti kubwa kwa nyakati fulani hasa usiku.
 
Wewe unaesoma Uzi huu bila shaka :

1. Umewahi KUKUTANA na mtu mwenye tatizo kama hili. Au

2. Wewe mwenyewe una tatizo hilo ila hujui kama upo nalo.


Tatizo hili mara nyingi humkuta mtu ambae amepiga hatua kidogo kwenye maisha au amepata breakthrough kiuchumi jambo ambalo yeye analitafsiri kama mafanikio..


Mtu huyu ataanza kuamini kwamba watu waliomzunguka hususani watu wake wa karibu ambao yeye ana amini amewazidi ki maisha, wanamchukia ama wanamuonea wivu and he will start to act and behave accordingly.

Ninayo mifano hai miwili:

1. Mpangaji wetu mwaka 2003.

Huyu jamaa alikuwa ndo kamaliza shule pale udsm. Alikuja kupanga nyumbani kwetu. Mwanzoni maisha yake yalikuwa magumu sana alikuwa analala chini na alidumu katika hali hiyo for almost 2 months. Mbaya zaidi wapangaji wenzake walikuwa wanamtangaza kwa watu kwamba analala chini.

Alipopiga buu baa alinunua gari halafu pale kwenye chumba na sebule alichopanga akaweka tv Kali fenicha na Mziki mnene..

Mbaya zaidi akawa anapiga muziki kwa sauti ya juu. Wapangaji wenzake wakimwambia apunguze sauti akawa anawafanyia ukaidi. Wakamshitaki kwa mshua( baba mwenye nyumba) ambae yeye alikuwa haishi hapo.

Mshua alipozungumza na jamaa, jamaa akasema wanamuonea wivu tu.

Baada ya tabia ya jamaa kuendelea mshua akampa notice. Jamaa kaondoka na kwenda kupanga sehemu nyingine huku akiwa ana amini kwamba amefukuzwa kwenye nyumba kwa sababu watu wanamuonea husda " mafanikio" yake na sio kwa sababu ya usumbufu wake kwa majirani.


Mfano wa pili: my own brother.


1. He is my own brother from the SAME -FATHER MOTHER.

2. Tumezaliwa tumbo moja ila mimba mbalimbali.


3. He is the first born in our family. He was born in the 70s. Mimi namfuata mara ya 5 am the last born in the family.

4. Alikuwa mtu wa kwanza kwenye familia yetu na partly kwenye ukoo wetu;

I. Kufika chuo kikuu
ii. Kununua gari.
Iii. Kutoka nje ya Tanzania ( sio nje ya Afrika/ hajawahi toka nje ya Afrika).

iii. Kujenga nyumba.

iv. Kujenga nyumba ukweni( he will be the first and the last to do this kind of abomination)


Kwa sababu hiyo jamaa kwa muda mrefu sana amekuwa akiamini sana kwamba yeye ndio mtu mwenye mafanikio kuliko watu wote kwenye familia yetu na partly ukoo wetu.


Na amekuwa aki behave accordingly. Hata tembea yake akija kwenye vikao na matukio ya familia na ukoo huwaga anatembea kama mtu ambae ametoka kucheza mpira wa ndondo amechoka jambo ambalo tafsiri yake kisaikolojia ni kwamba anaamini ameshayamaliza na kwamba nyinyi watu wengine mnacheza...

Watu wanamchora wanamuona to bishoo kwa sababu some of us have more money than him.

Kama wewe unaesoma Uzi huu upo kwenye kundi hilo please wacha mara moja tabia hiyo kwa sababu mwisho wa siku watu wenye tatizo hili huwaga wanaishia kuwa wachawi hasa pale unapoona watu ambao unadhani wewe unapesa kushinda wao, wana mafanikio makubwa kushinda wewe and they dont act strangely as you do.

Ogopa sana mchawi wa namna hii kwa sababu yupo tayari hata kuchinja n'gombe mmoja kila siku ili usifanikiwe...

mtoto wa mwisho alie pata "mafanikio kiduchu" kwenye maisha yake huwadharau wakubwa zake.....​

 
ukijenga nyumba ukweni na kusomesha mashemeji lazima udharauliwe tu mkuu.


Tena kajenga nyumba mbili moja kwa baba mkwe ( kijijini) nyingine kwa mama mke( kijijini)

Source : Yeye mwenyewe anajisifu. Mtu kama huyu usipomdharau basi hutokuja kudharau mtu mwingine tena.

mtoto wa mwisho alie pata "mafanikio kiduchu" kwenye maisha yake huwadharau wakubwa zake.....​

 
Wewe tu una chuki nae ktk uandishi wako coz hapo kwenye kutoka nje ya nchi umesisitiza sana kuwa hajatoka nje ya Afrika, hii ni dalili kwamba wewe na nduguzo mnamfuatilia sana na mnachukia mafanikio yake.
Kila mwenye pesa ana mwendo wa pesa, hawezi tembea kama muuza kahawa sababu anajiamini.
Huyo mpangaji wenu ni limbukeni wa mafanikio madogo ila mzee wako nae alikisea ktk mikataba ya wapangaji ktk kuichapa, lazima kuwa na masharti kadhaa ya wapangaji ili waweze kuishi pamoja likiwepo hilo la kutokera wengine kwa kufungua radio kwa sauti kubwa kwa nyakati fulani hasa usiku.

Brother, I will never try to kill a Judas knowing that he will end up hang himself.

Siwezi kumfuatilia kwa chochote cause I don't like his behaviour.

Kuhusu kutowahi kutoka nje ya Afrika hilo ndilo limemfanya anichukie mpaka leo kwa sababu Mimi nimewahi toka nje ya Afrika mara nyingi na sijaenda kimasomo.

Nimeenda nje ya Afrika before him so amejenga chuki kwa sababu aliamini yeye ndo alipaswa kuwa ameenda abroad before me.


Niliposikia kajenga ukweni kwao nilijisikia vibaya sana na Mimi nikajenga nyumba nje ya mji nikawapa zawadi wazazi wangu baba na mama waishi. Pamoja na kwamba baba na mama hawakuwa na shida ya nyumba lakini nilifanya hivyo kuwapa ile faraja " mtoto wetu katujengea nyumba"

He is hating on me for that mkuu haongei na Mimi toka 2019.

Ndio maana nikasema ukisha kuwa na hii mentality ya kudhani kwamba wewe umefanikiwa kushinda watu wengine na kwamba they envy on you u can end up being a witch when u realize that they are actually richer than you and they dont give a inch about you.

Kuna tajiri mmoja maarufu jijini Dar anatoka mkoa jina siutaji yeye ana ofisi kubwa sana hapo mjini. Na yeye ana tabia hii.

Yeye alicho kifanya ni kuwafunga ndugu zake wote walio Soma au wanao pambana kutoka.

Kuwafunga vipi?

Kawaajiri kwenye biashara na makampuni yake. Maana yake ni kwamba yeye ndo anaamua wapate hela kiasi gani kwa mwezi.


Ukionekana umepiga hatua kidogo kimaendeleo anasema unamuibia.


Mkuu Mimi kwa filosofi yangu ya maisha ni ngumu mno kumuonea wivu mtu kwa sababu naamini kwa vitendo:

1. Duniani tunapita( duniani tupo stendi)


2. We did not create this world it was rather given to us or forced upon us.


Yani nimuonee wivu wa kimaendeleo mtu ambae nimekutana nae stendi.
 
Wewe tu una chuki nae ktk uandishi wako coz hapo kwenye kutoka nje ya nchi umesisitiza sana kuwa hajatoka nje ya Afrika, hii ni dalili kwamba wewe na nduguzo mnamfuatilia sana na mnachukia mafanikio yake.
Kila mwenye pesa ana mwendo wa pesa, hawezi tembea kama muuza kahawa sababu anajiamini.
Huyo mpangaji wenu ni limbukeni wa mafanikio madogo ila mzee wako nae alikisea ktk mikataba ya wapangaji ktk kuichapa, lazima kuwa na masharti kadhaa ya wapangaji ili waweze kuishi pamoja likiwepo hilo la kutokera wengine kwa kufungua radio kwa sauti kubwa kwa nyakati fulani hasa usiku.
"*Watu wanamchora wanamuona to bishoo kwa sababu some of us have more money than him.""

Sasa mtoa mada amejuaje ana hela kuliko kaka yake?

Kwani pesa ndiyo utajiri, au utajiri ni uwekezaji/mali?
 
Back
Top Bottom