David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,682
- 5,263
WhatsApp kulikuwa na group la familia sasa ikapita donation kila mtu lazima achangie 30k ya msiba wa bibi,ukichangia lazima group admin atoe mkeka wa watu waliotoa pesa.
Sasa watu wengi walikuwa wanalega lega sana kutoa na mambo mengi pale msibani yalikuwa hayaendi vizuri,nikasema ngoja niokoe jahazi tusijepata aibu bure nikachangia laki 9 badala ya elfu 30,kama kawaida group admin akafanya yake akaweka mkeka kuwa bwana mdogo David ametoa laki 9.....ebaana eeh nilipigwa vijembe sio vya dunia..utasikia watu wengine kwa kupenda sifa ameambiwa atoe elfu 30 yeye ametoa laki 9,mwingine anakuja quotes ule ujumbe anasema watoto wa siku hizi wana dharau sana...daaah
Sasa watu wengi walikuwa wanalega lega sana kutoa na mambo mengi pale msibani yalikuwa hayaendi vizuri,nikasema ngoja niokoe jahazi tusijepata aibu bure nikachangia laki 9 badala ya elfu 30,kama kawaida group admin akafanya yake akaweka mkeka kuwa bwana mdogo David ametoa laki 9.....ebaana eeh nilipigwa vijembe sio vya dunia..utasikia watu wengine kwa kupenda sifa ameambiwa atoe elfu 30 yeye ametoa laki 9,mwingine anakuja quotes ule ujumbe anasema watoto wa siku hizi wana dharau sana...daaah