Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 799
I know its gonna be unpopular opinion lakini potelea mbali. I have tried kusikiliza bongo flava lakini i can confess kuwa nimegive up!
Kama ingekuwa 1980's NINGEKUBALI kuwa hatuna vifaa wala exposure
Mara mia nisikilize KWAITO au hata ORIGINAL TAARAB na siyo MODERN TAARABA kuliko kusikiliza this rubbish so called BONGO FLAVA
Production zao ni poor hii nazungumzia akina DULLY SKYKES mpaka NAKAAYA SUMARI
Wasanii ni kila mtu in short wengi wao ni rubbish
Music video zao zinafanya barbeque video zangu zionekane zimetengenezwa na SPIKE LEE
Sasa hebu niambie how can i love this genre ya BONGO FLAVA?
Sikatai ni nzuri for local market lakini kwa sababu watu hawana much choice lakini kama ni venture capitalist i cannot thubutu kuinvest hata centi tano yangu kwenye hii takataka
BTW
the same applies to:
ZE COMEDY (ambao wanajaribu kuwaiga wale wakenya wanaoiga akina Moi)
MADIZAINA wakibongo (Akina Khadija Mwanamboka na wale wadosi ambao wanafanya shows kila kukicha)
The day hawa wapuuzi watakapo achana kuiga akian RODNEY JENKINS, DALLAS AUTIN, DR DRE, na na wengineo nitawaunga mkono in the mean time nitawasikiliza WANAJENJE for their originality, DARA J from WEST AFRICA for their originality na KWAITO from south Africa for their Originality
end of rant sasa nakaribisha watetezi wa huu upuuzi
Kama ingekuwa 1980's NINGEKUBALI kuwa hatuna vifaa wala exposure
Mara mia nisikilize KWAITO au hata ORIGINAL TAARAB na siyo MODERN TAARABA kuliko kusikiliza this rubbish so called BONGO FLAVA
Production zao ni poor hii nazungumzia akina DULLY SKYKES mpaka NAKAAYA SUMARI
Wasanii ni kila mtu in short wengi wao ni rubbish
Music video zao zinafanya barbeque video zangu zionekane zimetengenezwa na SPIKE LEE
Sasa hebu niambie how can i love this genre ya BONGO FLAVA?
Sikatai ni nzuri for local market lakini kwa sababu watu hawana much choice lakini kama ni venture capitalist i cannot thubutu kuinvest hata centi tano yangu kwenye hii takataka
BTW
the same applies to:
ZE COMEDY (ambao wanajaribu kuwaiga wale wakenya wanaoiga akina Moi)
MADIZAINA wakibongo (Akina Khadija Mwanamboka na wale wadosi ambao wanafanya shows kila kukicha)
The day hawa wapuuzi watakapo achana kuiga akian RODNEY JENKINS, DALLAS AUTIN, DR DRE, na na wengineo nitawaunga mkono in the mean time nitawasikiliza WANAJENJE for their originality, DARA J from WEST AFRICA for their originality na KWAITO from south Africa for their Originality
end of rant sasa nakaribisha watetezi wa huu upuuzi