Thinkyyy
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 548
- 71
Mkuu mambo mengine unajiweka nayo pembeni tu mkuu maana itakuwa ni kupoteza muda tu!
vizuri tutashinda kwa hoja tu mi simu yangu kutype maneno mengi inaniconsume tupia wewe hio article hapoo juuu
Mkuu mambo mengine unajiweka nayo pembeni tu mkuu maana itakuwa ni kupoteza muda tu!
Hujui,nenda kasome hizo hints nilizokupa.Kuna shida gani kukubali kuwa hujui kitu?Maandishi yako yanaonyesha hujui maana unaleta ubishi wa kijinga kabisa,unaoonyesha kuwa huijui historia ya Biblia na huijui Biblia yenyewe nje ya dogma ya kukaririshwa.
Kwenye hiyo mitaguzo niliyokuambia ukasome iliyofanyika karne ya nne na tano ndipo vitabu vya Biblia vya canon vilianza kurasmishwa na kuwa listed na vingine vikaanza kuitwa apocrypha.Sasa ni historia ndefu wewe unataka nikusimulie yote hapa,na vitabu vyote nilivyosoma.Yaani umeshindwa kabisa kutafuta maarifa nje ya box la dogma pamoja na kukua kote huku kwa teknolojia?Ku google tu 'ending(s) of Mark' huwezi,synoptic problem huwezi?
Kama hutaki kusoma kwanza na ukaendeleza hoja za kijinga,sitapoteza muda wangu na wewe.Bora nimsubiri mkuu otorong'ong'o labda tutaweza kuwa na mjadala wenye manufaa manake anaonyesha anajua.
Huyo Eiyer hajui kitu...Nahizo hints ulizompa ndo kwanza leo kazisikia....Kwasababu ana ule ugonjwa wa kujifanya anajua, ili usimuone hajui atajikweza "umejuaje mimi sijui".....
Ngoja mm nipitie hizo hints zako...
www.jesus-is-savior.com/Wolves/davinci.htm
Sawa Dan Vinci picha zake hazina ukweli....Unajua ile picha ya Last Supper aliichora baada ya yeye kusemekana kuamishiwa Vatcan Library kwa hiyo alipata wasaa mkubwa wa kusoma nyaraka na vitabu mbalimbali ..
Sasa watu wanasema kusoma huko ndo kulipelekea kuchora picha ile..
Huyo jamaa angetafiti kwanza ili ajue kuwa hata inayodaiwa kuwa "sura" ya Yesu ilikuwaje hasa ikawa maarufu angejua jambo kubwa sana
Huyo Da Vinch mwenyewe alikuwa anabuni hizo mambo zake hazina ukweli wowote,siku moja nilikuwa natazama National Geographic Channel walikuwa wanazungumzia huu upuuzi wa kizazi cha Yesu
Kuna mambo mengine hata ukitumia akili za mtoto w chekechea tu utagudua ni uji.nga!
Unachokijua ww kupitia those channels ni so called propaganda but da Vince have too many secrets
Unachokijua ww kupitia those channels ni so called propaganda but da Vince have too many secrets
Huyo Eiyer hajui kitu...Nahizo hints ulizompa ndo kwanza leo kazisikia....Kwasababu ana ule ugonjwa wa kujifanya anajua, ili usimuone hajui atajikweza "umejuaje mimi sijui".....
Ngoja mm nipitie hizo hints zako...
Ni kweli familia si jambo la siri, lakini ukumbuke kipindi cha yesu mpaka kifo chake alikuwa "NO BODY" amekuja kupata umaarufu miaka mingi baada ya kifo chake. Kama watu mashuhuri wakina Kaizari koo zao zilifutika kitambo, ni kitu gani kinakufanya uamini kuwa ukoo wa yesu ungeprevail? Hata ukoo wa Yosefu babaake yesu ulishafutika with no single trace!
Mkuu kuna hii documentary inaelezea jinsi biblia ilvyo tengenezwa icheki kaka tuje tushee understandings "banned from the bible"Hapa ndipo ambapo tunatakiwa tuwe makini sana
Kwenye suala la Maria Magdalena,ninachojua mimi ni kuwa hakuwahi kuandika kitabu chochote kile kutokana na nafasi ya wanawake nyakati hizo labda awe na sababu maalum sana!
Maandiko yanasema wazi kuwa Neno lake halitapotea milele,na kama kuna kisichojulikana naamini hilo sio neno lake
Kuna mambo mengi sana yamezushwa kiasi kwamba ili utambue inatakiwa uwe na ufahamu mkubwa sana kuhusiana na haya mambo
Kanisa katoliki lina nafasi kubwa sana kwenye hili,na hata hizi habari za Da Vinci zinahusiana nao,manzo kulikuwa hakuna biblia na ilifika mahali wakristo wa kwanza wakaona ni vyema kuvikusanya na kuviweka kwenye mjumuiko mmoja ili wasomaji wasije kupata tabu na pia waliamua kuyaweka mafundisho ya Yesu kwenye maandishi ili yasipotee,suala la kuviweka vitabu hivyo na ni vitabu gani viwekwe ninamini kuwa hilo jambo halikufanyika hivihivi tu ni lazima lilikuwa na usimamizi wa nguvu iliyofanya maandiko hayo yakaandikwa
Kitendo cha maandiko hayokuwepo hadi leo ni ishara tosha kabisa ya uwezo mkubwa uliokuwa unasimamia zoezi zima la kuandikwa na kukusanywa kwa vitabu hivyo
Kuna injili sijui ya barnaba na mengine ya kufanana na hayo,leo kuna watu hawakikubali kitabu cha Ufunuo eti wanadai mwandishi sio Yohana alieandika injili,kwa kifupi kuna mengi sna yanayoendelea ilimradi tu wakichaue kitabu hicho kitakatifu!
Be carefully !!!!!!
Mkuu familia sio jambo la siri na wala haliwezi kufunikwa kirahisi kama unavyofikiria kwani hao watoto wa Yesu wasingependa kufahamika kama watoto wa Yesu? Nina mwenye uwezo wa kuifunika hii familia ya Yesu muda karne zote hizo kuna uwezekano Yesu alikuwa karibu na Magdalena lakini sio ukaribu wa kimahaba kama baadhi ya watu wanavyotaka kuwaaminisha watu na huo ukaribu ndio msingi wa huu uvumi wa kua Yesu alizaa na Magdalena
Vatcan????
Sory,i don't trust them!
mkuu ningependa kukuonesha hizo docs lakini zipo katika dvd na sina utaalamu wa kuaatach such a documents. nielekeze nikutumie
sasa mkuu,
unazungumzia kitabu cha ufunuo kutokutajwa kwa maria je kutokutajwa hapo ndio kunathibitisha kutokuwapo kwa injili ya maria magdalena?
unathibitisha usemi wangu kuwa unashikilia yale tu uliyofundishwa kanisani kwako au yale yaliyomo tu katika vitabu ulivyofundishiwa.
kumbuka vitabu hivi viliandikwa kwa lugha za wakati huo na sio kingereza wala kiswahili je mimi na wewe tunathibitisha vipi kuwa havijawa edited wakati wanatfsiri kiingereza?
mimi ni muumini mzuri sana wa imani ya mungu na kristo na ninampenda mungu sana, ila sina imani sana na dini na utawala wake wote na baadhi ya mambo ya kanisa.
Weka kando level yeyote ya umaarufu, kati ya watu wote maarufu waliowahi kutokea, Yesu anaendelea kuwa maarufu kuliko wote.
Kama wameweza kufikiria kwamba alikua na mahusiano na Marymagdalena, isingekua rahisi zaidi kwao kufuatilia na kujua zaidi habari za hao watoto wake?
Kwani tatizo nini?
Au unataka kumuwekea Mungu mipaka?