The master
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 289
- 196
Labda nikuulize
Una ushahidi wa haya madai yako?
Yapo lakini hayayafanyi madai yako kuwa kweli!
Hapana!
Hebu leta hizi document!
Hapa unatakiwa ujue kutofautisha mambo ya kawaida na neno la Mungu
Neno la Mungu ni yeye mwenyewe anaelisimamia,hivyo kuwa makini sana na hii kitu!
Unajuaje kuwa neno hili ni la mungu na hili ni la mwanadamu ktk biblia?