Bado hizi ni hisia tu!
This is a lie!
Kati ya wanafunzi ambao Yesu aliwapenda yupo alietajwa na wenzake hawakuona haya wala aibu kumtaja
Halafu hata wakati wa kwenda kufanya maombi inajulikana wazi ni wanafunzi gani Yesu alikuwa anaenda nao kwenye maombi which mean alikuwa nao karibu kuliko yoyote yule
Kama ni kanisa tu liliamua kuviondoa hivyo vitabu soma ufunuo wa yohana utaona Yesu anavyozungumza na Yohana kuhusiana na kazi ya mitume wote 12!
Hakuna mahali amemtaja Maria magdalena!
Mkuu,
Hakuna mtu anaeweza kuzuia matakwa ya Mungu popote pale,kama Maria Magdalena alikuwa na umuhimu wowote ungejulikana tu
Mbona kwenye agano la kale kuna vitabu vilivyoandikwa na wanawake?
Hebu jaribu kufikiia nje ya box mkuu!
Kuwa mwanafunzi wake sina tatizo napo,tatizo ni kuhusu maandiko ambayo inadaiwa yana umuhimu mkubwa kiasi hiki!