King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,554
- 94,285
Hatari kama wambulu/wairaki.Eti weupe pee
Hatari kama wambulu/wairaki.Eti weupe pee
Njia yangu hiyo kabla hawajaweka ukutaHatari kama wambulu/wairaki.
Weruweru na ashira girls kulikua na fimbo za hatariEti weupe pee
Hahahaa basi ulikuwa unaenjoy sana kutalii hapo ukipita NJIA.Njia yangu hiyo kabla hawajaweka ukuta
Ila form 4 ya 2012 mlibuyuka sana , kama sikosei 🤔Tulipishana kwa miezi hapo Kwa mama mchafu 😄
Haswa weekendHahahaa basi ulikuwa unaenjoy sana kutalii hapo ukipita NJIA.
Ni balaaWeruweru na ashira girls kulikua na fimbo za hatari
Nchi inahitaji wanasheria wasomi, madaktari wasomi, maengineer wasomi ... halafu unachukua wale wanaopasi first class wote unapeleka kuwa mafundi seremala na masons, kisha vilaza ndo wakasomee sheria, utawala ... UNATEGEMEA NINI?Funguka zaidi mkuu..
Kanywe mbege sereni
Sisi Wa Lyamungo Hatuhitajiki Hapa.... ??
Kanywe mbege sereni
Kumbe 2002 ulikuwa form one! Enzi zetu A level ilikuwa ni Old Moshi tu Kilimanjaro nzima.Mhm nisoma hapo , nikahama zamani kidogo 2005nikiwa kidato cha 3
kuna huyu mbamizwa ndege nilifurah kumwacha hapo, siku namaliza necta nikachana nguo zote na kuoga maji ya mvua yeye na mmaye odilia wakaanza atafaulu kweli daah secretarybird
Sisi Wa Lyamungo Hatuhitajiki Hapa.... ??
mabinti wa weruweru na headmistres wao walikuwa jau kinoma, wanaringa ila mwisho wa siku tumekutana kitaa nakumbuka kimemo changu nimekiandika kwenda kwa Jane wa spika R.I.P PCB me nikiwa PCB kumbe nasoma hekele kama secretarybirdWeruweru na ashira girls kulikua na fimbo za hatari
Ashira girls ipo Marangu lakini, au ulikuwa unawa-isolate girls from Machame wanaosoma Ashira?Umenikumbusha watoto weupe peee wa Kimachame kutoka Ashira Girls.