Leo nimepakumbuka Moshi Technical Secondary school

Leo nimepakumbuka Moshi Technical Secondary school

Mi naamini ktk shule za tech hakuna shule iliyoikuta Mazengo Tech kimajengo, elimu na hata karakana za ufundi zilikuwa na mashine nyingi na za thamani kubwa sana.

Mazengo Technical Sec School bonge moja la skonga. Serikali walibugi sana kuwapa wale wajerumani.
 
Back
Top Bottom