Leo nimepakumbuka Moshi Technical Secondary school

Leo nimepakumbuka Moshi Technical Secondary school

somo la Technical drawing ulianza hata kulisoma kweli lazima ungekimbia kijana wangu
Hapana bwashee, siwezi kimbia vitu vidogo hivyo ,ni vile tu nilitaka kusoma karibu na wazazi
 
Ilikua 2013 nakumbuka kulikua na kina Rashid njambi, Amani alikua form 3 na kina dogo kombe aka kelvin na wengine wengi
 
Ilikua 2013 nakumbuka kulikua na kina Rashid njambi, Amani alikua form 3 na kina dogo kombe aka kelvin na wengine wengi
Amani alienda Kibaha
Rashid njambi huyu jamaa naambiwa yupo Dar (Alikuwa shekh huyu)
Kuna Rashid mwingine aliitwa Rashid Mkindu alikuwa anatokea Singida(Alifariki toka 2014 mwanzo tu)
Emmanuel Marri ( alifariki 2024 hapo Dar kwa ajali ya boda).
 
Amani alienda Kibaha
Rashid njambi huyu jamaa naambiwa yupo Dar (Alikuwa shekh huyu)
Kuna Rashid mwingine aliitwa Rashid Mkindu alikuwa anatokea Singida(Alifariki toka 2014 mwanzo tu)
Emmanuel Marri ( alifariki 2024 hapo Dar kwa ajali ya boda).
Daah Emmanuel mmari na aliyeshatangulia ? Nilikua Sina habari.
Yeah njambi alikua sheikh nakumbuka na kuna vijana wangu SPCB na vituka aka Eugen .
Dorm 33 walikua wanangu sana , Mimi nilikua nipo Lumumba huko
 
Daah Emmanuel mmari na aliyeshatangulia ? Nilikua Sina habari.
Yeah njambi alikua sheikh nakumbuka na kuna vijana wangu SPCB na vituka aka Eugen .
Dorm 33 walikua wanangu sana , Mimi nilikua nipo Lumumba huko
Ahaha umenikumbusha mwanangu KITUKA dogo moja zembe zembe sana..
Yeah man Emmanuel Mmari kashatuacha,, Maana 2019 alienda China kusoma ila baada ya Ile issue ya Corona wakawa wamerudishwa..2024 hiyo mwanzoni mungu akawa kachukua Amana yake.
 
1970 form one azimio shule ilikuwa nzuri sana kimajengo. Orchad kuna machungwa machenza ba na mabalungi. Papai tunanunua huko kijiji kinaitwa matunda
Aisee mkuu wewe mkongwe kweli kweli.
Wakati wetu hata ilo neno Orchad halikuepo kabisa.
 
Back
Top Bottom