BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 6,417
- 12,985
Leo nimekumbuka sehemu ambayo ilitengeneza vijana wengi kuliko ilivyotengeneza majengo...
Moshi Technical Secondary School.
Kuna shule ambazo unaondoka na cheti tu, lakini kuna shule unaondoka na kumbukumbu zinazokufuata maisha yote.
Wapo waliokuja wakiwa watoto wakarudi majumbani wakiwa wanaume.
Ukiwahi kusoma hapa, ni jambo gani moja huwezi kulisahau mpaka leo?
Hizi ni baadhi ya picha za muda kidogo zipo kwenye gallery yangu naambiwa shule imefanyiwa ukarabati mkubwa sana.
Moshi Technical Secondary School.
Kuna shule ambazo unaondoka na cheti tu, lakini kuna shule unaondoka na kumbukumbu zinazokufuata maisha yote.
Wapo waliokuja wakiwa watoto wakarudi majumbani wakiwa wanaume.
Ukiwahi kusoma hapa, ni jambo gani moja huwezi kulisahau mpaka leo?
Hizi ni baadhi ya picha za muda kidogo zipo kwenye gallery yangu naambiwa shule imefanyiwa ukarabati mkubwa sana.