Dawa imewaingia TBC na imewakolea, wamepanic vibaya mno, ni aibu kwa chombo cha habari kufukuzwa na kukatazwa kutorusha matangazo kwa tabia za kuzima sauti ya live na kuingiza ya kwao.
Kuna ITV na vyombo vya online watarusha tu. Dawa imeingia pahala pake vizuri na kukolea
Kuna ITV na vyombo vya online watarusha tu. Dawa imeingia pahala pake vizuri na kukolea