mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,852
30 parefu Sanaa Kama mbakaji
Chanzo : MwananchiHii kauli umeisikia wewe peke yako walah....
HakumpataHivi kweli lilimtia Nandi? ..kwenye Ile story lilivamia hotel alipokua Nandi kumbe lilifanikiwa kumtia! Duh!
Sikiliza kijana usije ukajaribu kusema mahakamani neno "siwezi kujitetea " utachezea mvua hadi kichaa kikupandeUNGEKUWA NI WEWE UNGEJITETEAJE?
AU ULITAKA AJITETEAJE?
ILA NINGEKUWA MIMI NINGESEMA SIWEZI KUJITETEA KWA MAMBO NISIYOYATENDA.
NAWEZAJE KUJITETEA KWA MAMBO NIYOYATENDA?
KUKUBALI KUJITETEA NI SAWA NA KUKUBALI KOSA KUWA NI KWELI ULILITENDA ILA SASA UNAOMBA UPUNGUZIWE ADHABU!!!
Uko vizuri sana kwenye unafikiAliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .
Chanzo : Mwananchi
Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .
Umeshupalia kweli kweli, lete maneno hakimuHilo la jambazi unalisema wewe siyo mahakama!
Anasema Hakimu ampunguzie adhabu kwa sababu ana mchumba ambaye anahofia ataanza/ashaanza probably kuliwa na wandewa.Kwani Sabaya mwenyewe anasemaje
Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .
Chanzo : Mwananchi
Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .
Mungu mkubwa sana jamaniHili ni funzo kwa wote wanaokubali kutumika ili kulinda madaraka.
Utasubiri sana .mbowe hafungwiUnapanic nini sasa we zwazwa?
Subiri mahakama itende haki kwa gaidi
Hii furaha ya. Leo sijawahi onaukiona hukumu ya kesi inapelekwa masaa ya jioni sana, jua kifuatacho ni mvua ya mawe.
Nenda kamsaidie sabaya kutumikia miaka 30 si mlikuwa wote wakati wa kuvamia maduka ya watu.pumbavuMahakama ikitenda haki kwa gaidi usilie kama toto jinga
Kama hukumu imetolewa maana yake mahakama imethibitisha hivyo kuwa ni jambazi. Mtu anayepora mali za watu huitwa jambazi kama Kiswahili kinakupiga chenga.Hilo la jambazi unalisema wewe siyo mahakama!
Mngwira RIP. Ile clip ukiiona utajua Sabaya alikuwa Nani hapa URT.Mama Anna yupi?
ila ukumbuke tu Mungu ni wa wote,hukumu ya kesi ya mwenyekiti inakuja.Mungu mkubwa sana jamani