Lema kweli hana nidhamu

Lema kweli hana nidhamu

Status
Not open for further replies.
Its very sad to have such kind of pple in this forum. We need pple who know why r we where we are, and eager to see the newly reformed country with interlectual, economical and political integrity
 
wewe mpuuzi sana.inaonekana umekosa malezi ya baba na mama.wewe kwa akili yako uliona uamuzi alojchukulia vuai wa kusumerize mapendekezo ya wachache ni sahihi?

Kwani ku sumerize kwa mdomo kungeathiri kitu gani wakati mapendekezo yale yangekuwemo katika ansad za bunge yakiwa kamili kama kamati ilivyopendekeza. Yeye alisumerize kutokana na muda na hakuna kitu hata kimoja ambacho kimechakachuliwa, sasa Lema pamoja na kuambiwa yote hayo tena na mtu mwenye heshima zake bado aliendelea kufanya vibweka kama yuko tandale uwanja wa fisi huku kasimama wima kama..... Bila adabu katika kadamnasi ya waheshimiwa! Na wewe unaleta ungese wako na uharo wako wa kifedhuli kwangu? Mimi nina maneno machafu kuliko mavuzi yako! Ebo!
 
Its very sad to have such kind of pple in this forum. We need pple who know why r we where we are, and eager to see the newly reformed country with interlectual, economical and political integrity

Which kind of pp r u refering...?
 
Chagadema imeisha kisiasa Inatafuta kick kupitia bunge la katiba ... najua povu litawatoka hpa
 
Na Yule Mchungaji Mtikila Naye Tumwite Nani Mkuu? Maana Hata Naye Alikuwa Akipiga Kelele Akipinga, Aina Uwasilishaji!!
 
Yaani mkuu, hata kama anastahili kupinga jambo bungeni, sio kwa staile ile! Ukiangalia mle ndani kuna watu makamo ya babu yake lakini heshima katika bunge ndio inayoweza kumtenganisha mhe na chokoraa! Nadhani anadhani yuko kijiweni mle.
Kwa staili ya ukwapuaji rasilimali, kutumia majeshi ya ulinzi na usalama kulinda wezi na ujinga wa watawaliwa kama kete ya amani huku wengi wao wakikosa haki muhimu za msingi ni hakika waliofunguka fikra hawawezi kuwa na nidhamu unayoizungumzia. Kwa hali ilivyo watawala wetu ni kama mapepo, huwa hayakemewi kwa kubembeleza ila ni kivumbi mpaka ya toke na hdiyo hali halisi sasa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom