djcastlelite
Senior Member
- Mar 8, 2014
- 159
- 21
Ndugu nikulize swali olesendeka hivi ni mbunge wa jimbo gani
Mwambie mama yako afunguke ili akutajie baba yako maana ulizaliwa gesti.
Ndugu nikulize swali olesendeka hivi ni mbunge wa jimbo gani
Maajabu haya wewe ndio wakuchagua maneno mazuri ya kuambiwa wakati hoja yako imejaa matusi tuKamanda, hata kama una mapenzi na Lema, jaribu basi kuangalia maneno ya kuandika.
Ubungo mkuuNdugu nikulize swali olesendeka hivi ni mbunge wa jimbo gani
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
Hivi ubongo wako uko vizuri kweli?
Kuwa na adabu we mlokole feki, hata kama nimezaliwa nyumba ya wageni mi sio wa kwanza, soma biblia utaona siku mama wa Yesu anaingia mjini, alikuta nyumba za wageni zimejaa akamzalia kwenye holi la ng'ombe.
Hivi ubongo wako uko vizuri kweli?
Yaani mkuu, hata kama anastahili kupinga jambo bungeni, sio kwa staile ile! Ukiangalia mle ndani kuna watu makamo ya babu yake lakini heshima katika bunge ndio inayoweza kumtenganisha mhe na chokoraa! Nadhani anadhani yuko kijiweni mle.
craap!!!! wewe ni mpuuzi unae kesha humu na thread za kipuuzi, lema yupo bungen ana wakilisha zaidi ya wananch million 3, wewe hata kuwakilisha familia yako ume shindwa.
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
Mkuu asante kwa kauweka kumbukumbu sahihi huyu Godbless J Lema Alituaga wana jamvi hapa kuwa angeondoka Dodoma Bungeni mwanzoni mwa wiki iliyopita! Nashangaa mpaka sasa karibu siku kumi zinaisha bado yupo tu!Mkuu Ralphryder
Kwani Lema yupo bungeni si alikuja humu ukumbini na kututangazia kuwa anajitoa kwenye bunge la katiba na kurudi Arusha, kulikoni tena.
Siku zile amri ilitoka kwa Kaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote wa ulimwengu.
2 Orodha hii ndiyo ya kwanza iliyoandikwa hapo Kirenio alipokuwa liwali wa Shamu.
3 Watu wote wakaenda kuandikwa, kila mtu mjini kwao.
4 Yusufu naye aliondoka Galilaya, toka mji wa Nazareti, akapanda kwenda Uyahudi mpaka mji wa Daudi, uitwao Bethlehemu, kwa kuwa yeye ni wa mbari na jamaa ya Daudi;
5 ili aandikwe pamoja na Mariamu mkewe, ambaye amemposa, naye ana mimba.
6 Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia,
7 akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.