MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Kati ya Mwigulu na Lema nani huwa hana nidhamu ya kuzungumza bungeni? Manyani hayaoni kundule
Yaani unamafananisha mchumi FIRST CLASS na standard seven leaver? kweli huna aibu!
Kati ya Mwigulu na Lema nani huwa hana nidhamu ya kuzungumza bungeni? Manyani hayaoni kundule
Mkuu asante kwa kauweka kumbukumbu sahihi huyu Godbless J Lema Alituaga wana jamvi hapa kuwa angeondoka Dodoma Bungeni mwanzoni mwa wiki iliyopita! Nashangaa mpaka sasa karibu siku kumi zinaisha bado yupo tu!
Yaani unamafananisha mchumi FIRST CLASS na standard seven leaver? kweli huna aibu!
...Wewe wa kwako ungekuwa vizuri ungekaa hapa ukimshabikia huyu mwehu LEMA?
Ritz, Yap yap mkuu, na aliaga kwa mbwembwe ila nilisema yule kwa kupenda hela hataondoka! Kweli kabaki ila ndio kawa kituko kabisa heshima hana kwa sababu anawaza hela tu hoja hana! Cheze kilo tatu kwa siku!
Yaani unamafananisha mchumi FIRST CLASS na standard seven leaver? kweli huna aibu!
Lema ni Jembe wewe omba kukuche salama ukachukue buku saba
Ubongo wangu uko vizuri sana mkuu, kwa nini?
....Lema ni baba yenu arusha juzi mlibaba milestone kama wakimbizi !!!
Hata mimi napinga,kuna hitilafu katka ubongo wako umeandiki mithili ya mfu vile.
Kamanda, upo sawa kweli mie na hoja gani liyojaa matusi au umeamua kukurupuka kunijibu.Maajabu haya wewe ndio wakuchagua maneno mazuri ya kuambiwa wakati hoja yako imejaa matusi tu
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
mchaga aache pesa?
lema ni taahira.. bado bangi inafanya kazi kichwani
....Lema ni baba yenu arusha juzi mlibaba milestone kama wakimbizi !!!
Hueleweki!
Dah! Mchaga Lema kazidi kunogewa na pesa aisee! Anazisaka kwa njia zote duniani, Kwa ulaghai, ujambazi, wizi, per dm za bungeni, ni ile biashara yake nyeti aliyosambaza picha zake watu waijue hiyo biashara nyeti.
Kamata like kama kumi hivi mkuucraap!!!! wewe ni mpuuzi unae kesha humu na thread za kipuuzi, lema yupo bungen ana wakilisha zaidi ya wananch million 3, wewe hata kuwakilisha familia yako ume shindwa.