Lema kweli hana nidhamu

Lema kweli hana nidhamu

Status
Not open for further replies.
Hapo umesema "kifungua mimba", hivi bibi Mariam mama wa Yesu alikuwa na watoto wengine? Na kitinda mimba alikuwa nani?

Ukisoma BIBLIA sio wote waliotajwa! ila Mariam aliendelea kuzaa tu! Maana BIBLIA ina tabia ya kutaja wale tu ambayo iko na interest nao!
 
.....Lema ndo Mbunge wa Arusha kachaguliwa na wananchi wa Arusha wewe unawashwa na nini ????

We si umesema siasa za Arusha unazijua sana na sie wa pembezoni hatuzijui! Inavyoonyesha huwa mnachakachua.
 
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.

...necessary noise for redemption of tanganyika,big up kamanda lema....
 
Ukisoma BIBLIA sio wote waliotajwa! ila Mariam aliendelea kuzaa tu! Maana BIBLIA ina tabia ya kutaja wale tu ambayo iko na interest nao!


....Mkuu mbona umekimbia swali achana na mambo ya dini ...kutumia udini katika siasa ni utumwa zaidi ya utwana!!!!
 
Unakumbuka BABU alisema kuwa akiingia madarakani atatengeneza katiba ndani ya siku 100, halafu atauza cement mfuko wa kg 50 shs 5000, pia akasema kuwa wenye nyumba za nyasi wote atawapatia bati! Mzee mwongo yule!

Halafu ukimuangalia usoni ni mkavuuu, hana hata tone la aibu! Kibaya zaidi, haangalii hata umri wake! Anakuwa muongo ka babu wa kikombe mzee wa Samunge!
 
yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! Sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. Wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.

habari za milembe kwanza? Hv kwanini umetoroka milembe hospital?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom