MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Hapo umesema "kifungua mimba", hivi bibi Mariam mama wa Yesu alikuwa na watoto wengine? Na kitinda mimba alikuwa nani?
Ukisoma BIBLIA sio wote waliotajwa! ila Mariam aliendelea kuzaa tu! Maana BIBLIA ina tabia ya kutaja wale tu ambayo iko na interest nao!