Lema kweli hana nidhamu

Lema kweli hana nidhamu

Status
Not open for further replies.
lema wepi yule waliemwambia kipindi kile kuwa ni ubwabwa au?
 
wewe dada Ralphryder,

Kwani vp tena mbona unafatilia waume za watu? Kama ni nizamu basi Lema ndo mtiifu kuliko woote. Umeelewa? Haya...

Binti acha kushoboka, andika vizuri basi! Sio "nizamu" sema Nidhamu, mitoto iliokuwa mijinga shuleni utaijua hata katika kuandika na kuongea, we ulikuwa unakula sana mipipi ya vijiti na kulialia kutwa shuleni.
 
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.

wewe mpuuzi sana.inaonekana umekosa malezi ya baba na mama.wewe kwa akili yako uliona uamuzi alojchukulia vuai wa kusumerize mapendekezo ya wachache ni sahihi?
 
...

...Kuleni fedha ya ccm Arusha ila Ubunge, wenyeviti wa mitaa, madiwani mtausikilizia!!!!
 
lema hana hoja yoyote ya kuongea zaidi ya kupiga makelele tu.. wana arusha wana hasara sana
 
Duuu kaka unamoyo, njaa zitawaueni nyie wanalumumba, hamna aibu
Kuwa na adabu we mlokole feki, hata kama nimezaliwa nyumba ya wageni mi sio wa kwanza, soma biblia utaona siku mama wa Yesu anaingia mjini, alikuta nyumba za wageni zimejaa akamzalia kwenye holi la ng'ombe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom