Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
Machangu nao ni walipa kodi.
...Tulia wewe hujuwi siasa za Arusha !!!
Machangu nao ni walipa kodi.
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
Sawa lakini, Arusha Mjini wananchi wameshashtuka kuwa LEMA ni BOMU, hasa baada ya kuuza lile trekta kwa Mzee Kitasho, Na zile Ambulance Mbili kwa Atish wa ARUSHA ART ..
....Kamanda juzi pale milestone wenzako ccm na yule macho manne mlifanya branda sana Mkuu !!!
Sawa lakini, Arusha Mjini wananchi wameshashtuka kuwa LEMA ni BOMU, hasa baada ya kuuza lile trekta kwa Mzee Kitasho, Na zile Ambulance Mbili kwa Atish wa ARUSHA ART ..
Weka picha
MSALANI, Mkuu we mwambie ukweli kwamba Lema harudi bungeni msimu ujao! Hata kama Arusha atakuja mpinzani lakini hawezi kuwa Lema, watu waliomchaguwa wamekuwa so disapointed kabisaa.
Mbona sikusomi Kamanda?
...MSALANI wewe nakuheshimu lakini wenzako walichokifanya juzi pale Milestone ni u p u m bavu katika siasa ndo maana !!!
...Tulia wewe hujuwi siasa za Arusha !!!
Ha! Picha! Acha u Abunuasi wako hapa! Ndio utasikiaje sasa!
Nasikia anakwenda kugombea Ubunge Jimbo la HAI na Freeman Mbowe anaenda kugombea jimbo la MOSHI MJINI, kwani NDESAMBURO anastaafu!
....Yaani mnakaa na machangu na gari za polisi (mkuu mabawa) ndani ya milestone ....
Mbona hutaki kufunguka mkuu?
...wee uko magogoni ?
Mkuu wala sifahamu unachoongea!
Lema ameharibu umuhimu wa Jiji tulivu, la Kimataifa na Utalii la Arusha
Magogo yapi?