Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
RAIS ameshindwa kutimiza ahadi angalau moja tu!
...mkuu jibu swali langu
RAIS ameshindwa kutimiza ahadi angalau moja tu!
Kumbuke unautaka uhousegirl.
Akili zako umemkabidhi JK
Kumbuke unautaka uhousegirl.
Akili zako umemkabidhi JK
craap!!!! Wewe ni mpuuzi unae kesha humu na thread za kipuuzi, lema yupo bungen ana wakilisha zaidi ya wananch million 3, wewe hata kuwakilisha familia yako ume shindwa.
ukitaka kujua UKUU wa LEMA muulize MAGESA MULONGO .
ni hv familia utakuwa umempa ujiko, hawezi hata yeye mwenyewe kujiongoza hvy asaidiwe kujiongoza na hata kut mbewa mkewe,
Ukuu wa Minikabaaang!
Kama kawaida yenu chagadema, matusi tu, aaa hamjambo! Minikabaang!
kama kawaida yenu chagadema, matusi tu, aaa hamjambo! Minikabaang!
Bungeni kamanda.
acha kufikiri kwa kutumia tigo,
acha kufikiri kwa kutumia tigo,
Ubungo mkuu
Halafu ukimuangalia usoni ni mkavuuu, hana hata tone la aibu! Kibaya zaidi, haangalii hata umri wake! Anakuwa muongo ka babu wa kikombe mzee wa Samunge!
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.