Lema kweli hana nidhamu

Lema kweli hana nidhamu

Status
Not open for further replies.
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.

Nadhani ulivyoandika umenyesha ni jinsi gani ulivyo mnywa gongo!
 
Siku zile amri ilitoka kwa Kaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote wa ulimwengu.
2 Orodha hii ndiyo ya kwanza iliyoandikwa hapo Kirenio alipokuwa liwali wa Shamu.
3 Watu wote wakaenda kuandikwa, kila mtu mjini kwao.
4 Yusufu naye aliondoka Galilaya, toka mji wa Nazareti, akapanda kwenda Uyahudi mpaka mji wa Daudi, uitwao Bethlehemu, kwa kuwa yeye ni wa mbari na jamaa ya Daudi;
5 ili aandikwe pamoja na Mariamu mkewe, ambaye amemposa, naye ana mimba.
6 Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia,
7 akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Hapo umesema "kifungua mimba", hivi bibi Mariam mama wa Yesu alikuwa na watoto wengine? Na kitinda mimba alikuwa nani?
 
Hapo umesema "kifungua mimba", hivi bibi Mariam mama wa Yesu alikuwa na watoto wengine? Na kitinda mimba alikuwa nani?

Ndio, Bi Mariam alikuwa na watoto wengine baadae umbu zake na Yesu.
 
Lema amekopi na ku paste zile siasa za ulaghai za kibabu.

Unakumbuka BABU alisema kuwa akiingia madarakani atatengeneza katiba ndani ya siku 100, halafu atauza cement mfuko wa kg 50 shs 5000, pia akasema kuwa wenye nyumba za nyasi wote atawapatia bati! Mzee mwongo yule!
 
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.

Wapi huko?? Bar au msikitini?? Au alikuwa MSALANI ukamchungulia??
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom