MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
...swali la kizushi .....unaifahamu milestone Arusha?
Ndio naifahamu vizuri sana!
...swali la kizushi .....unaifahamu milestone Arusha?
LEMA zile Machinga Complex na Hospitali ya mama na mtoto itakuwaje tena ilhali 2015 unaondoka?
Lema ameharibu umuhimu wa Jiji tulivu, la Kimataifa na Utalii la Arusha
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
Ndio naifahamu vizuri sana!
Nadhani ulivyoandika umenyesha ni jinsi gani ulivyo mnywa gongo!
Siku zile amri ilitoka kwa Kaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote wa ulimwengu.
2 Orodha hii ndiyo ya kwanza iliyoandikwa hapo Kirenio alipokuwa liwali wa Shamu.
3 Watu wote wakaenda kuandikwa, kila mtu mjini kwao.
4 Yusufu naye aliondoka Galilaya, toka mji wa Nazareti, akapanda kwenda Uyahudi mpaka mji wa Daudi, uitwao Bethlehemu, kwa kuwa yeye ni wa mbari na jamaa ya Daudi;
5 ili aandikwe pamoja na Mariamu mkewe, ambaye amemposa, naye ana mimba.
6 Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia,
7 akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
Yaani hata pato la wana Arusha limeshuka, kutwa migogoro na dola! Hawapumui!
CDM sikuhizi hawatishi kama MAN U.
.....Acha hasira
Hapo umesema "kifungua mimba", hivi bibi Mariam mama wa Yesu alikuwa na watoto wengine? Na kitinda mimba alikuwa nani?
Lema amekopi na ku paste zile siasa za ulaghai za kibabu.
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
Mleta mada siwezi kumpa kazi ya uhousegirl
Kwani uongoo?