Ulipojiunga JF unifanya hivyo kwa kuwa wewe ni great thinker!!!! Kwa hiyo, jamii inatarajia kutoka kwako kwamba utakuwa una una uwezo wa kueleza facts. Mimi ndo nikaona si kweli kwamba CCM ndo wameamriwa kulipa gharama za kesi maana si CCM waliofungua kesi bali ni hao kina mama kwenye picha. Naeleza facts na sio ubabaishaji.....
Kama unataka kuni-challenge lete hukumu ya leo ya mahakama ya rufaa tuone ni nani kaamriwa kulipa gharama za kesi ya Lema!!! Hiyo ndo hoja yangu na wala si mapovu ama chuki ya hukumu. Aliyeshinda kashinda tu. Tunaripoti kama hukumu ilivyoandikwa na si kuongeza maneno yasiyokuwamo kwenye hukumu.
Uwe mwelewa huu si mpira kwamba wewe ni refa na mimi ni mchezaji, kwamba uamuzi wa refa ni wa mwisho, la... Bali ni facts.