Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Join Date : 2nd November 2012
Posts : 5
Rep Power : 309
Likes Received0
Likes Given5



Endelea kufuatilia mijadala ya huku ndani then later utaelewa jinsi ya kuanzisha mada
 
wewe unaonaje mtu wangu? sema tu mimi ntakupa LIKE ya dawa kamanda... hata mchicha ulianza kama mbuyu!
 
Congrats to lema! Na iwe positive kwa cdm mpaka 2015, amen!
 
Mungu ni wa wale wanaonena ukweli daima na wasiogopa kuonesha uwongo umejificha wapi.
 
  • Replies: 1,205
  • Views: 28,054.
  • Hii ni kuonyesha kwamba dunia nzima wanafuatilia jamii forum;Kitu muhimu CHADEMA TUNAOMBA DIGITAL RADIO NA TV ILI UJUMBE UWAFIKIE WATANZANIA WENGI.
  • Nawapongeza viewers na repliers.
  • Leo ni siku ya kihistoria pamoja na ushoga uliopo kati ya zito saa8 na Jk msituvuluge chadema!!!!!
Kadi ya dk.slaa,kutupa kadi kwa arfi na Tanga kutotambua matokeo ya urais ni hatari kwa chadema.Rekebisheni matatizo hayo tusonge mbele!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Oh yes!!! Ukweli umejulikana na haki imetendeka. Wahusika wa kupotosha ukweli washitakiwe!!
 
Mkuu, Hawa ndiyo wanasiasa wetu. Wanaongea tu bila hata kupima kile wanachokiongea kwa sababu katika mawazo yao wanafahamu hata wasikilizaji nao ni kama wao.

Ukizifuatilia hotuba nyingi za 'wanasiasa' wetu, unaweza ukapatwa na mshangao. Kwa Tanzania, ukiwa na uwezo wa kupiga domo basi unakuwa 'mwanasiasa' maarufu. Objective reasoning nchini kwa wanasiasa na wananchi wengi zinaonekana kama boring politics.

Jaribu kuangalia, wanasiasa ambao mara nyingi huongea 'pumba' ndiyo maarufu katika vyama vyao. It tells something!!
Umeona eeeeh? Hahahaaa......!

Yani ina maana kwamba kesi yote ile ya kukata rufaa na kupata huu ushindi tumepoteza muda kwa sababu CHADEMA wenyewe wanatuambia CCM walikosea kumvua ubunge Lema kwa sababu huko alikokuwa uraiani akiwa sio mbunge alifanya kazi ya chama kubwa zaidi.... well then abaki huko huko basi! Halafu coming from non other than John Mnyika, of all the people.

Now listen to this, Mnyika kasema siku ile Pinda alipodanganya Bungeni Lema alimwomba Mnyika ampe kanuni za kumkaba Pinda. I mean, I can't imagine senator wa Marekani for instance abwatuke kwamba senator mwenzake hajui rules of the senate, yani within 48 hours zitakuwa zimeshakusanywa sahihi za recall election.
 
Wana CHHADEMA wote hebu mkumbuke kauri aliyotoa afande ANDENGENYE alipokuwa RPC Arusha kwamba kesi ya ubunge ya Kamanda Lema lazima imtie kidole, sasa yeye huko alipo ndiye ametiwa mwenyewe kidole.

Pia waliotiwa kidole na kesi hii ya ubunge ya Lema ni:-

1. Nape Mnawie , huyo tena katiwa dole hadi kwenye rectum
2. Mwigulu Mchemba
3. Steven Wassira
4. William Lukuvi

MWINGINE ni mtu mkubwa sana simtaji yeye na mtoto wake.
 
Mkuu yaya Tundu Antipass Lissu ndiye badala ya Mbowe/Rais Slaa

Mkuu Greenwhich na wakuu wengine wa Jf, tafadhalini, mnaponukuu au kujibu hoja za JF haya majina mawili muwe nayo makini. Yaani yaya na Yaya Toure. Hawa au sisi ni watu wawili tofauti kabisa na tusiofahamiana au ambao mimi yaya simfahamu Yaya Toure.

Mfano, katika hoja hii Mkuu wangu Greenwhich ulikuwa unamjibu Yaya Toure, lakini majibu yako yakatumwa kwangu kana kwamba mimi ndiye uliyekuwa unanijibu!

Pole sana mkuu.
 
Mkuu kazi unayo mwaka huu utaeleza saana mpaka wakubwa zako wakukubali, unadhani hao kina mama wanafedha za kulipa mawakili pesa zote hizo kwa ajili ya kesi hii????? Wewe pia eleza facts!!!

Facts zipi? Za fedha za kuendeshea kesi? Kwani Lema yeye alitoa wapi pesa za kugharamia rufaa yake? Unataka tuanze kueleza facts za wapi mtu alipata pesa za kuendeshea kesi? Je, tutakuwa ni great thinkers kweli? kwani Lema kwa kusaidiwa na chama chake kuisimamia kesi mpaka mwisho ni dhambi? Ila dhambi ni kwa upande wa pili?..... No, no, no!!!! We are wrong... Tunachokizungumzia hapa ni facts ambazo tunaweza kuzithibitisha kutoka kwenye hukumu... na si mawazo ya mtu anavyofikiria. Bila kujali Lema alitoa wapi pesa ya kesi yake ya rufaa mwisho wa siku tunasema "Lema kashinda kesi....." Hatusemi, "Baada ya kupewa pesa na SABODO Lema ameshinda kesi..." Hatusemi na wala haitupasi kusema hivyo. Vivyohivyo, kama mtu alipewa pesa ili afungue kesi dhidi ya Lema mahakama haiwezi kuthibitisha hilo, na hata ikithibitisha haiwezi kulitambua. Inamtambua mhusika mwenyewe an si wapi katoa pesa. Kama vile chuo kinavyomtambua mwanafunzi wake akihitimu kinampa cheti yeye na si mfadhili wake basi na mahakama inamtambua aliyefungua kesi na si mfadhili wake. Hizo ndo zinaitwa FACTS.
 
Facts zipi? Za fedha za kuendeshea kesi? Kwani Lema yeye alitoa wapi pesa za kugharamia rufaa yake? Unataka tuanze kueleza facts za wapi mtu alipata pesa za kuendeshea kesi? Je, tutakuwa ni great thinkers kweli? kwani Lema kwa kusaidiwa na chama chake kuisimamia kesi mpaka mwisho ni dhambi? Ila dhambi ni kwa upande wa pili?..... No, no, no!!!! We are wrong... Tunachokizungumzia hapa ni facts ambazo tunaweza kuzithibitisha kutoka kwenye hukumu... na si mawazo ya mtu anavyofikiria. Bila kujali Lema alitoa wapi pesa ya kesi yake ya rufaa mwisho wa siku tunasema "Lema kashinda kesi....." Hatusemi, "Baada ya kupewa pesa na SABODO Lema ameshinda kesi..." Hatusemi na wala haitupasi kusema hivyo. Vivyohivyo, kama mtu alipewa pesa ili afungue kesi dhidi ya Lema mahakama haiwezi kuthibitisha hilo, na hata ikithibitisha haiwezi kulitambua. Inamtambua mhusika mwenyewe an si wapi katoa pesa. Kama vile chuo kinavyomtambua mwanafunzi wake akihitimu kinampa cheti yeye na si mfadhili wake basi na mahakama inamtambua aliyefungua kesi na si mfadhili wake. Hizo ndo zinaitwa FACTS.
Mkong'oto huu kwa CCM ni Murwa kabisa, na bado.
 
Mkong'oto huu kwa CCM ni Murwa kabisa, na bado.

Mijitu mingine bana....... mimi naongelea kitu kingine, na lenyewe linajibu kitu kingine........
Suala la mkong'oto kwa CCM linakujaje hapa???? Mnaichukia CCM bila sababu yoyote. Halafu ninyi itakuwa mmezaliwa miaka ya hivi karibuni.... Waulizeni kina Mabere Marando na Augustino Lyatonga Mrema watawaeleza. Walikuwa na wafuasi wengi sana enzi za NCCR-MAGEUZI lakini ulipofika uchaguzi mkuu kura walizopata walibaki na mshangao. Na huko Zimbabwe (sorry-namaanisha Zanzibar) waulizeni CUF watawaambieni ninini kilitokea. Mtakuja kushangaa mwaka 2015 na kubaki midomo wazi. Na migogoro ya CHADEMA ndo imeanza hivyo..... Kufikia 2015 Dr. Slaa atagombea ubunge kwa tiketi ya CCM!!!!! Na Zitto huko kwao atajiunga na CCM!!!!! Ninyi hamlijui hilo.... Kwmaba CHADEMA ni marehemu 2020, Mnashabikia kitu msichokijua. Na hata hao mnaowashabikia sidhani hata kama huwa mnawaona na wao kuwaona na kuwasikiliza LIVE!!!! Wao wako kwenye magari yao na ninyi mmesimama pembeni kwenye vibaraza mkiwapungia mkono na wao wakijibu kisha mnadhani mko pamoja. Poleni sana kwa hilo......
 
-
DSC00031.JPG

Hawa ndo waliofungua kesi

Hawa watu mbona sura zao kama wanaenda kunyongwa vile?
Ni misukule ya EL
 
hongera ccm kwa kuamua kumrudishia lema ubunge wake.sasa amejifunza na tuna imani atafanya siasa za kistaarabu
 
..........[h=1]Wagalatia 3 : 2 Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani?[/h]
".....................nataka kujifunza neno hili kutoka kwenu". Waraka wa mtume Paulo kwa Wagalatia.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Warumi 3:27-31 "Ku wapi basi kujisifu? kumefungwa nje. kwa sheria ya namna gani? ........................ je! Mungu ni Mungu wa Wayahudi tu? siye Mungu wa mataifa pia; kama kwa kweli Mungu ni mmoja; atakayewahesabia haki wale waliotahiriwa katika imani nao wale wasiotahiriwa atawahesabia haki kwa njia ya imani iyo hiyo. Basi Je! Twaibatilisha sheria kwa imani hiyo? ............................"


Yapime mwenyewe kwa utashi wa roho yako!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom