Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

DSC00031.JPG

Huyo mama wa kati kati ni mteja wa FINCA, kumbe alikopa kwa ajili ya kuendeshea kesi, na kesi ishamshida, sijui atapata wapi marejesho. loh. anatia huruma jamani. magaba inabiidi mumchangie marejesho mwenzenu.
 
Hongereni makamanda.... Sote tukosambamba na peopleeeeeees
 
Huu ni muendelezo wa kazi ya ukombozi wa wanyonge, Watanzania tutakuwa Huru tu coz Makamanda tutaipigania nchi yetu hadi kieleweke.Mwisho wa udharimu,ulevi wa madaraka,ufisadi na kila aina ya uchafu wa hii Serikali ya CCM ni 2015.
Big up saana pipoooziiiiiiiiiiiiiiiii............................



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mapambano sasa yaelekezwe vijijini kwa nguvu zote. wana CDM - Tabora bado kumelala sana... Hebu utupieni macho mkoa huo... karibuni sana Tabora tukomboe wananchi... Jimbo kama la Urambo magharibi liko wazi kabisa... CDM tuko wapi??
 
Mkuu usipoteze muda kujadiri wagonjwa. na washukuru Global Fund kwa kutoa dawa bure....

sidhani ulikusudia andika hii kitu hapa ukimaanisha inastahili kuwa mchango wako kwa nilichoandika.Seeing is believing, soon utaona mziki wa Lema.
 
Nimekuwa nafaraja sana kwani haki ya mtu haipotei kwa mungu yote yanawezekana. MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI CHADEMA NA WANACHAMA WAKE.
 
Ni zawadi ya NOELI na mwaka mpya kwa wasaka ukombozi wa taifa hili (WANANCHI) na pigo takatifu kwa mafisadi, wezi wa rasilimali za taifa hili na wasaliti wa ukombozi

Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu ITAKAYOKUWA KWA WATU WOTE...

Atukuzwe Mungu juu mbinguni na duniani iwe amani kwa WATU ALIOWARIDHIA.
 
[video=youtube_share;Jv0H_81TCoI]http://youtu.be/Jv0H_81TCoI[/video]

Mnyika unachemka kusema CCM walikosea kumvua Lema ubunge kwa sababu eti alienda vijijini kuendeleza Movement. Basi hata hizi shamra shamra za leo might as well be mdundiko wa mtaani ambap hauna cha maana kwa sababu ni bora abaki huko huko in the grassroots, manake si umesema ilikuwa poa? Not to mention wabunge wanatakiwa waende vijijini anyhow, sio mpaka wavuliwe ubunge. Na wewe ndio supposed to be among the most eloquent voices of the party, unachemka namna hii?

Na si kila supporter wa CHADEMA ni shabiki wa Manchester na Barcelona. Unapokuwa jukwaani for public speech ndugu Mnyika, jaribu kutumia neutral rhetoric ambayo hai alienate baadhi ya supporters wako.


Mkuu, Hawa ndiyo wanasiasa wetu. Wanaongea tu bila hata kupima kile wanachokiongea kwa sababu katika mawazo yao wanafahamu hata wasikilizaji nao ni kama wao.

Ukizifuatilia hotuba nyingi za 'wanasiasa' wetu, unaweza ukapatwa na mshangao. Kwa Tanzania, ukiwa na uwezo wa kupiga domo basi unakuwa 'mwanasiasa' maarufu. Objective reasoning nchini kwa wanasiasa na wananchi wengi zinaonekana kama boring politics.

Jaribu kuangalia, wanasiasa ambao mara nyingi huongea 'pumba' ndiyo maarufu katika vyama vyao. It tells something!!

 
Voice for the voiceless is back in the parliament, long live lema and so much love.
 
hogera sana G. Lema!walipokunyang'anya ubunge wako nilihc kupasuka coz I knew it was colluded and tempered by the bunches of magogoni!but GOD is still answering prayers, he has answered mine,GLORY be unto GOD!Alunta continua.
 
Hivi godbless lema kurejeshewa ubunge ni kuonyesha ukomavu wa kisiasa kupitia demokrasia au ni mbinu ya ccm kujisafishia jina
 
Back
Top Bottom