kweli kabisa mkuu,haka katabia ka usaliti kameanza siku nyingi tangu ilipoundwa tume ya kupitia upya mikataba ya madini nikawa nimehisi kuna watu walikuwa bribed na wakawa vigeugeu madhara yake ndo tunayaona mpaka leo.
Katika wanasiasa naowakubali kitaifa na kimataifa huyu kamanda namkubali ile mbaya!yaan kama ushwahi kuwasikia watu waojua kutekeleza majukumu yao bila unafiki na kwa ukweli na uwazi huyu mmoja wao sasa ngoja tuone moto wa gesi utakaowaka Bungeni!hakika ukombozi umewadia sasa toa jembe weka majembe mpaka mwiso.:majani7:
Huyu Ritz ni nani?TISS,PRO-CCM au ni nani?