Invisible naomba huu uzi uwekwe na side b yake ili mtu akichelewa asome side A wengine tuendelee na side B, mipage ikiwa mingi sana aliyechelewa anateseka sana na hawezi kupitia page by page.
Mnyika unachemka kusema CCM walikosea kumvua Lema ubunge kwa sababu eti alienda vijijini kuendeleza Movement. Basi hata hizi shamra shamra za leo might as well be mdundiko wa mtaani ambap hauna cha maanakwa sababu ni bora abaki huko huko in the grassroots, manake si umesema ilikuwa poa? Not to mention wabunge wanatakiwa waende vijijini anyhow, sio mpaka wavuliwe ubunge. Na wewe ndio supposed to be among the most eloquent voices of the party, unachemka namna hii?
Na si kila supporter wa CHADEMA ni shabiki wa Manchester na Barcelona. Unapokuwa jukwaani for public speech ndugu Mnyika, jaribu kutumia neutral rhetoric ambayo hai alienate baadhi ya supporters wako.
Leo ilikuwa siku ya hukumu ya rufaa ya kamanda godbless lema katika mahakama ya rufaa jijini dar es salaam. Mbona matokeo ya rufaa hiyo badohayajafika katika mtandao wa jf!
Ongera sana kamanda. ss naomba tupige kazi kwa bidii zote. Mm kama kamanda wa Arusha ningepenada tuwe na siku za usafi apa Ars. kwa nfano kila j'mosi makamanda tufanye usafi wa jiji. peoooooozzzzzzz!!!!!
Leo ilikuwa siku ya hukumu ya rufaa ya kamanda godbless lema katika mahakama ya rufaa jijini dar es salaam. Mbona matokeo ya rufaa hiyo badohayajafika katika mtandao wa jf!
Ninafurahia kweli uzalendo wa CDM kwakuvaa mavazi ya kiutamaduni wa baadhi ya makabila ya Tanzania kama migorore....Hii ina inua sense of belonging kwenye Taifa letu na nimoja ya mbinu ya kuujenga utaifa wetu..Big up comrades!
Hongera kamanda Lema hatimaye tuna wewe ndani ya house la kutunga sheria....Arusha nimewaaminia you truly are patriotic and are determined to set a course of change for our beloved mother landa Tanzania!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.