Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Semanao mkuu, vyeti vya nini huko? muhimu ni kama kadi yako ya chama iko hai na jee mambo ya takrima unayazingatia?full stop.Unategemea nini kutoka kwa wabunge wa CCM wenye vyeti feki. Hii inaonyesha hata sheria za msingi za nchi na za kimataifa hazijui kabisa.