Lazima tuwekane sawa kuhusu UKIMWI

Unategemea nini kutoka kwa wabunge wa CCM wenye vyeti feki. Hii inaonyesha hata sheria za msingi za nchi na za kimataifa hazijui kabisa.
Semanao mkuu, vyeti vya nini huko? muhimu ni kama kadi yako ya chama iko hai na jee mambo ya takrima unayazingatia?full stop.
 
kwa Wazo alilotoa muheshimiwa Yona ni la kuzingatiwa sana, isje ikwa kama wimbo wa Remmy mAMBO KWA SOKSI, ambao ulipigwa marufuku zama zile na kwa sasa kinachozungumziwa ni mambo kwa soksi kwa asilimia 100.

Muheshimiwa ana wazo la msingi na mimi namuunga mkono katika hili, na tena si kuwekewa alama tu na hata wale ambao wanavirusi vya ukimwi wanaoenda nchi za nje ni vema wakajulikana katika nchi waendazo ili kudhibiti maambukizo ya ukimwi,
Tatizo watu wanaambukiza virusi kwa makusudi na kwa kudhamiria, nakumbuka kauli waliyoitoa waathirika kipindi kile kuishinikiza serikali iwape chakula walitishia 'kuambukiza virusi kwa makusudi' na pia wametishia pia 'kuacha kutumia dawa za kupunguza makali ya virus', hii ni hatari zaidi kuliko kuwekewa alama.

kinachoniogofya zaidi ni hivi vitisho vyao, kwani mtu awazavyo ndivyo alivyo', wanawaza kuua raia wengine wasio na hatia, wanawaza kuua watu wengi zaidi kwa kusababisha 'resistance' ya dawa.

Nawaunga mkono India, dunia imekuwa ndogo sana, mnakumbuka mfano wa yule gay 'mhudumu wa kwenye ndege' alivyowaambukiza watu kadhaa (new type carpos sarcoma)?
 
kwa Wazo alilotoa muheshimiwa Yona ni la kuzingatiwa sana, isje ikwa kama wimbo wa Remmy mAMBO KWA SOKSI, ambao ulipigwa marufuku zama zile na kwa sasa kinachozungumziwa ni mambo kwa soksi kwa asilimia 100.

Muheshimiwa ana wazo la msingi na mimi namuunga mkono katika hili, na tena si kuwekewa alama tu na hata wale ambao wanavirusi vya ukimwi wanaoenda nchi za nje ni vema wakajulikana katika nchi waendazo ili kudhibiti maambukizo ya ukimwi,
Tatizo watu wanaambukiza virusi kwa makusudi na kwa kudhamiria, nakumbuka kauli waliyoitoa waathirika kipindi kile kuishinikiza serikali iwape chakula walitishia 'kuambukiza virusi kwa makusudi' na pia wametishia pia 'kuacha kutumia dawa za kupunguza makali ya virus', hii ni hatari zaidi kuliko kuwekewa alama.

kinachoniogofya zaidi ni hivi vitisho vyao, kwani mtu awazavyo ndivyo alivyo', wanawaza kuua raia wengine wasio na hatia, wanawaza kuua watu wengi zaidi kwa kusababisha 'resistance' ya dawa.

Nawaunga mkono India, dunia imekuwa ndogo sana, mnakumbuka mfano wa yule gay 'mhudumu wa kwenye ndege' alivyowaambukiza watu kadhaa (new type carpos sarcoma)?
Hatukatai lakini kuna njia Bora zaidi za kupigana na Ukimwi, nazo ni za kidini, ukishindwa tumia busara zako kabla ya kuingia deal ya ngono na mtu i.e know your client/customer/service provider, nyingine ni ya kutumia soksi.
Lakini ukitumia sera za ulimbukeni baada ya kupata mbesa, au baada ya kumuona fulani kavaa suit/au kavaa kama 50 cts etc au , au ukafuata sera ya mafiga matatu, au kubadili menu ili ku-maintain hamu ya kula probability ya kuuvaa, inakuwa kubwa.
 
Haya ndiyo matatizo ya watu kuona uongozi ni sehemu ya kujikomboa na sio kukomboa taifa. Huyu yawezekana alipata nafasi kwa kuwa ana mtu alimkingia kifua ili nae ajikomboe.
 
Miye namtolea uvivu kwani tukianza kutiana alama usoni na mimi ni na mawazo yangu... serikali iwagonge mihuri kwenye paji la uso wabunge wote wanaozungumza pumba Bungeni!!
 
Hawa ndio wabunge wetu jamani kwa nini kushangaa hoja zao.

Kwanza yeye kapima na kama kapima majibu yake ameshampa bossi wake (spika) na yeye ana kama akigundulika ameathika je atajisikiaje akiwekewa alama usoni??

Jamani tuelewe sio waathirika wote wamejipatia wenyewe bali wengine wamepata kwa baadhi mbaya mfano tu atupe majibu ya sakata la wangonjwa MOI waliofanyiwa operation mbili badala ya moja je si uzembe wa madaktari wetu na manesi na VVU wenginge wamepewa kwa bahati mbaya sasa watajusikiaje watakapoona jamii imewatenga kwa kiasi hiki??

Jamani wakuu wafikirie sana hoja zao kabla ya kuzitoa hadharani.
 
Serikali yakemea imani potofu kuhusu ulemavu

2007-12-04 15:39:58
Na Sharon Sauwa, Mnazi Mmoja


Serikali imewataka Watanzania kuachana na imani potofu za kuamini kuwa watu wenye ulemavu ndani ya familia ni dalili ya mkosi.

Changamoto hiyo imetolewa na Waziri wa Kazi, ajira na Maendeleo ya Vijana, Kapteni John Chiligati wakati wa maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu duniani.

Akasema kundi hilo ni binadamu wanaohitaji msaada mbalimbali kutoka kwa jamii.

`Kwa maana hiyo jamii iache tabia ya kuwatenga, kuwanyanyasa na kuwanyanyapaa watu wenye ulemavu,`akasema.

Akawataka kujenga upendo kwa kushirikiana nao na kuwasaidia wanapohitaji msaada.

Pia akazitaka familia kuhakikisha kuwa wanawasaidia watoto wenye ulemavu waweze kujifunza na kuwapa elimu.

Kwa upande wake Serikali imeandaa mkakati maalum wa kuwawezesha watu wenye ulemavu wanakuwa na maisha bora.

Akasema Serikali ina mikakati mizuri ya kuwawezesha watu wenye ulemavu watu wanakuwa na maisha bora zaidi.

Waziri Chiligati akasema katika ilani ya uchaguzi ya chama cha Mapinduzi ya mwaka 2005, wameahidi kuongeza fursa za ajira kwa watu wenye ulemavu.

Mbali na hilo wameahidi kuwashirikisha katika uendeshaji uchumi na kujenga mwamko wa kuzingatia mahitaji maalum ya watu wenye ulemavu.

`Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, itajitahidi kutenga fedha kwa ajili ya kuimarisha upatikanaji wa huduma za elimu, afya na mikopo ya ujasiriamali,`akasema Waziri huyo.


SI WENGINE HAO WANAOWAITA WALEMAVU NA VIPOFU NI WATU WALIOKUWA WANAFATA IMANI ZA KISHETANI NI WAKIRISTO HAO.

LAKINI UKIMWI ETI NI MAPENZI YA MUNGU.

KAZI HIVYO?
MAMBO YENU HAYO MASHEYANI.
 
Serikali yakemea imani potofu kuhusu ulemavu


SI WENGINE HAO WANAOWAITA WALEMAVU NA VIPOFU NI WATU WALIOKUWA WANAFATA IMANI ZA KISHETANI NI WAKIRISTO HAO.

LAKINI UKIMWI ETI NI MAPENZI YA MUNGU.

KAZI HIVYO?
MAMBO YENU HAYO MASHEYANI.

Ustaadhi mbona unapindisha ukweli wa chiligati alichosema?

Alichosema wasibaguliwe, n.k

tumekua katika imani hii 'Tanzania ni moja, na watu wote ni ndugu zangu bila kujali rangi, dini au kabila'.

Tuchape kazi tujenga nchi, ukristo ni imani kama ilivyo uislam, budha, hindu, Bahai, et al.

Wanaowatenga vilema si wakristu peke yao,
IDD AMIN DADA alikuwa mkristu?
 
SI WENGINE HAO WANAOWAITA WALEMAVU NA VIPOFU NI WATU WALIOKUWA WANAFATA IMANI ZA KISHETANI NI WAKIRISTO HAO.

Nadhani kuna kitu umepungukiwa Mh.Makini
Siju umepata wapi lini uwenda wazimu wa kukashifu dini za watu bila hata kuwa na taarifa ya kile usemacho.

kaa chini fikiria, tafakari tena na tena, angalia elimu uliyo nayo na yale uliyoyasema, angalia jamii inavyokutaza na kukuheshimu bila ubaguzi wa kidini, angalia walio karibu yako at least 50% ni wakristu.
Je utathubutu kusema hayo uliyosema hadharani au hata msikiti? maana naamini hata mashekh hawata kuunga mkono
 
Hii habari ilirushwa BBC in november kuhusu madawa ya kulevya na niliipost hapa some few weeks ago under a different heading lakini I guess my heading choice wasnt good, watu wengi hawakujua what 'harm reduction' inamaanisha nini according to one of moderators here, ambaye amenicontact privately kunijulisha jinsi ambavyo amevutiwa na mada hii, naomba niirudie tena under a different heading.....

"....now addicts are adopting a new technique which is worrying drug abuse specialists. Young men inject themselves with a cocktail of heroin and cocaine.It is called "flash blood".
A user injects heroin, then withdraws a syringe-full of blood which contains a smaller amount of heroin and which is passed to a second user who injects it.The technique means that addicts who cannot afford to buy their own drugs can still get a fix, however diluted.
"Such sharing is terribly dangerous," says Dr Steven Nsimba of the Muhimbili University of Health and Allied Sciences.
"It could have devastating consequences for HIV/Aids. If the first person is infected the second person will get a direct transmission of the virus."
The prevalence of HIV is under 1% in Zanzibar, well below the 7% on mainland Tanzania, but Dr Nsimba believes that could change.
"The spread of HIV could be very fast depending on the number of people who are doing flash blood."
No-one knows just how many addicts are using the flash blood technique, although the health authorities in Zanzibar are now trying to gather reliable data.""

Hapa ndo Harm Reduction program inapoingia, tusitegemee watu wenye addiction ya drugs wataacha kutumia ghafla eti kwa kuwa wanashauriwa wafanye hivyo, wataendelea hadi pale watakapoamua kuacha wenyewe. Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kupunguza madhara yanayotokana na matumizi ya madawa hayo. Principle ya harm reduction kwa wale wanao inject madawa ya kulevya inapendekeza kwamba syringes ziwe zinapatikana kwa urahisi(i.e. without a prescription). Kama uopatikanaji wake utakuwa rahisi, rates ya maambukizi ya HIV itapungua. Kama upatikanaji wa syringes utaendelea kuwa limited watumiaji wa heroin na madawa mengine ya kulevya wataendelea kuzi share na kuzitumia zaidi ya mara moja bila hata kuzi sterilise na hii itaongeza maambukizi ya magonjwa kama HIV na Hep C. Tujiulize pia, hawa vijana wanao inject kwa sasa- wanazitoa wapi hizo syringes? Nahisi watakua wanaziiba mahospitalini kama sio kuzinunua kwa wafanyakazi wa mahospitali hayo-which is illegal. Pia kutakua na tatizo la syringes na needles zilizokwisha tumika kutupwa ovyo mitaani, kitu ambacho ni hatari hasa kwa watoto ( and ofcourse kwa wale ambao viatu bado ni mgogoro!).
Nadhani ni wakati muafaka kwa serekali kufungua needle exchange centres ili wawe wakitoa syringes safi na kukusanya zile zilizokwishatumika kama nchi za wenzetu zilizoendelea zinavyofanya. Au ni mpaka tusubiri wazungu waje watufanyie jambo hili?
 
The following conditions are mainly responsible for the AIDS pandemic in Tanzania and throughout Africa:

1)Concurrent multiple sexual partners - many African men and women tend to have more than one sexual partner at a time even when they are married. This behavior transcends class, education level, social level as everyone from the president to the peasant in Africa are guilty of this behavior.

2)Dry sex - for some reason African men believe vaginal dryness means a female has had few sexual encounters and is therefore more desirable. Unfortunately vaginal dryness increases the chances of HIV transmission during sex as lesions, cuts, bruises are more likely to occur due to friction. Dry sex is just as risk as anal sex or blood transfusion in terms virus transmission.

3)Ignorance and misinformation - a lot of people in Africa are still misinformed and some are still ignorant about the disease. There are a lot of myths about HIV/AIDS in Africa. Some of these myths come from misinformation and some from pure ignorance.

Now with the above factors at play, any HIV/AIDS prevention program is likely to fail in Tanzania and throughout Africa.
 
The following conditions are mainly responsible for the AIDS pandemic in Tanzania and throughout Africa:

1)Concurrent multiple sexual partners - many African men and women ...
2)Dry sex - for some reason African men believe vaginal dryness means a female has had few sexual encounters and is therefore more desirable....
3)Ignorance and misinformation - a lot of people in Africa are still misinformed and some are still ignorant about the disease. There are a lot of myths about HIV/AIDS in Africa. Some of these myths come from misinformation and some from pure ignorance.
Now with the above factors at play, any HIV/AIDS prevention program is likely to fail in Tanzania and throughout Africa.

The Truth,

Nakubaliana nawe kwa kiasi, ila mengi uliyoandika siyo wa afrika tu hata hao wazungu wako vivyo hivyo!! Pia ulivyoandika ni kizungu mno, yaani ile tabia ya wazungu wanakuja afrika kwa siku mbili halafu wanajifanya ati weshafahamu matatizo yetu na kwanini waafrika ni masikini....Ambao wengi wao wanakuwa wamekosea sana, ila kwa sababu wanapesa na wanatupa ufadhili wa hizo dawa (hata kama kwao zimepigwa marufuku), basi sisi na viongozi wetu inabidi ati tukubali hizo conclusions zao uchwara!!! Halafu nasi tunaanza kuwajibika kuzifuatilia bila kujua.

Mimi binafsi napinga sana hiyo tabia na hali ya kulifanya bara la afrika lina wajinga, tusio na ueleo au watu ambao ni omba omba tu!!! Wanadirika hata kuliita DARK Continent nasi tunakaa kimya tu.

Kuna mfano wa karibu ngoja nikupe: KUTAHIRI wanaume
siku zote wazungu wamekuwa wanapiga vita kisirisiri, na wengi waliosomea shule za misheni etc wakawa wanakuwa discouraged kutahiri. Leo hii ati ndiyo wamegundua kuwa hiyo inapunguza saana maambukizi. Pia Kule Uganda, Zimbabwe na Sauzi, wengi wao hawatahiri na ndiyo maana maambukizi yakawa mengi hivyo. Hata kwetu ni hivyohivyo, zile kona za wasiotahiri waathirika ni wengi zaidi....Sasa hata hilo inabidi mzungu ndiyo atuandikie?!
 
Bwana Choveki utachoka na kutaka kumwelimisha huyu jamaa (Raj Patel)...huwezi ku-reason naye...
 
And how do you explain the pandemic in India...?

The HIV/AIDS infection rates in India are NOT at a pandemic level. Only in sub-Saharan Africa HIV/AIDS is considered pandemic due to the high infection rates and its spread throughout the region. Unless HIV/AIDS is discovered soon, the situation is completely hopeless in sub-Saharan Africa.
 
WanaJF salama,
Nimeona ni vyema nanyi mkashiriki kutazama ripoti hii ya Makete na namna ilivyotajirisha watu lukuki kwa kudai kila mtu uko ana ukimwi.
Hakika ni kwamba taasisi nyingi, yakiwemo makanisa, watu binafsi walitajirika sana na uongo ule.
Mengi yalisemwa na yakasemwa, huku fedha zikiliwa na kuliwa. Watu wakatajirika huku wale wagonjwa wachache waliokuwepo wakiendelea kuteseka.
Naiattach hii hapa na ninahangaikia ile ripoti ya kiasi kilichotolewa na wafadhili na waumini na kikalliwa.
Tuko pamoja
 
Wana JF na watanzania kwa ujumla,
Mojawapo ya majanga yanayolikabili taifa letu, ni hili gonjwa la ukimwi. Katika kulikabili, tumeambiana sana juu ya matumizi ya kondomu, uaminifu, au kutofanya kabisa mapenzi. Watafiti sasa wanatuletea kitu kingine: Mlo wenye SELENIUM.

Naam, labda tuanze kufikiria pia juu ya kuelekeza kampeni zetu katika matumizi ya selenium. Hiki ni kitu gani lakini?
Ebu soma hapa:
To slow the slaughter(of HIV/AIDS), we should begin to increase dietary selenium levels in all deficient countries by adding this trace element to salt, animal fodder and fertilizers. Agriculture supplementation programs are already ongoing in New Zealand and Finland for other health reasons

kwa maelezo zaidi, tembelea
http://www.wellbeingjournal.com/index.php?option=com_content&task=view&id=1&Itemid=33

Mnalionaje ndugu zangu?
 
Painkiller and others,
Im still convinced that this info is very useful to us, I hereby paste the whole of it. Please digest.

A Nutritional Solution to AIDS and Other Viral Pandemics
Despite the widespread promotion of programs stressing condom use, fidelity and chastity, HIV is continuing to spread rapidly. Globally, to date, it has infected some 70 million.[1] Major geographical patterns of infection, however, are becoming obvious. In the United States, for example, Cowgill[2] has shown that AIDS mortality has had an inverse relationship, especially in African-Americans, with local fodder crop selenium levels. That is, the higher the dietary selenium intake, the lower the AIDS mortality rate experienced.
Most of sub-Saharan Africa is selenium deficient. In South Africa, Swaziland, Uganda, Kenya, Zambia and Botswana, countries where AIDS is now the main cause of death, populations tend to lack an adequate dietary intake of this trace element.[3-4] In contrast, Senegal's soils are derived from marine sediments, many of which are selenium enriched. In its capital city, Dakar, the prevalence rate for HIV infection still hovers at an unusually low 0.5 percent among women attending antenatal clinics.[5] Similarly, Finland has experienced only about 50 percent the HIV infection rate of its Nordic neighbors. This appears to be linked to a decision, taken in 1984, to legislate the addition of sodium selenite to all fertilizers used in Finland, in an attempt to reduce the death rate from heart disease.[6] As might be expected, mortality from AIDS also is unusually low in Bolivia, a major exporter of selenium.[7]

Taken as a whole, the geographical evidence, therefore, strongly suggests that selenium is protective against HIV infection. Such a relationship is not limited to this virus. A frequently fatal illness of the heart, known as Keshan disease, is widespread in the population of the low selenium belt that crosses China from northeast to southwest. Keshan disease occurs only in individuals who are both selenium deficient and infected by the coxsackievirus.[8] Virally induced heart disease is not limited to Asia. Nicholls and Thomas[9] have shown that 10 out of 38 heart attack patients admitted to the King Edward VII Hospital in Midhurst, Sussex, England, during a two-month study period had been infected, in the previous week, by the coxsackievirus B. Interestingly, patients who take selenium supplements regularly, after their first myocardial infarction, are far less likely than normal to suffer subsequent attacks.[10] This knowledge has allowed the Chinese to virtually eradicate Keshan disease by adding selenium to fertilizers, animal feed and table salt. In Sichuan Province, for example, the use of fortified table salt reduced the annual incidence of this heart disease in children from 7.1 to 0.12 cases per thousand population, during the period 1974 to 1983.[11] Throughout the great Chinese selenium deficiency belt, as selenium levels in diet have risen, coxsackievirus infection has dropped and with it the incidence of Keshan disease.

Field trials in China also have shown that hepatitis B and C viral infection rates can be reduced by selenium supplementation. In Qidong county, Jiangsu Province, one town with a population of 21,000 was selected to receive table salt that had been fortified with 15 ppm of anhydrous sodium selenite. Six surrounding townships, where the population continued to use unfortified salt, were monitored as controls.[12] Three years later, the incidence of hepatitis had fallen to 4.52 per 1,000 population in the selenium supplemented city. In contrast, communities still using normal table salt had a hepatitis incidence rate of 10.48 per 1,000. A later study of similar design, conducted by Yu and coworkers[13] in the same county, demonstrated that 200 micrograms of selenium, taken daily in fortified yeast, could also protect against the liver cancer that is often associated with hepatitis B and C infection.

There are other viruses that do not easily infect human populations whose diets are selenium adequate. Broome and coworkers,[14] researchers from the University of Liverpool, showed that selenium supplements may protect against poliomyelitis. They demonstrated that selenium supplements can improve the human immune system by causing an increase in the enzyme glutathione peroxidase and in the production of interferon gamma and T helper cells and an earlier peak in T cell proliferation. All these changes improved the efficacy of the immune system, making it easier for selenium supplemented patients to clear their bodies of the picornaviruses in a live attenuated polio vaccine trial.

Animal immune systems also appear to benefit greatly from selenium. Beck and coworkers,[15] for example, have demonstrated that selenium-deficient mice develop much more severe interstitial pneumonitis when exposed to a mild strain of influenza A than do selenium-adequate mice. Beck and colleagues concluded that nutritional deprivation in humans probably increases susceptibility to influenza infection. Beyond this, researchers at the USDA's Agricultural Research Service Laboratory in Columbia, Missouri,[16] have shown that even insects need selenium to resist viral infection. To illustrate, they found that the susceptibility of cabbage looper larvae to the baculoviruses rose and fell with selenium levels in the diets of these caterpillars. One of the researchers involved described what happened when selenium deficient larvae were exposed to this virus. "It's Ebola for caterpillars... The virus turns caterpillars into giant virus factories and they dissolve into a pile of goo."

Simply put, humans, animals and insects that are selenium deficient are easily infected by a wide variety of viruses. Those eating selenium-adequate diets are not. This relationship between the trace element and HIV is the key to reversing the current AIDS pandemic since it is the virus's Achilles' heel.

New Pathogens

Mark Woolhouse and colleagues,[17] at the University of Edinburgh, have identified more than 1,400 pathogens that cause diseases in humans. At least 800 of these have crossed the species barrier from animals. Of course, HIV-1 is one of these, originating as the chimpanzee (Pan troglodytes) virus SIVcpz, while SIVsm, a sooty mangabey (Cercocebus atys) monkey virus, gave rise to HIV-2. At least one disease a year is now jumping from animals to humans, exposing humanity to new pathogens at an unprecedented rate. Indeed, 38 new human pathogens have emerged in the past 25 years, including AIDS, avian flu, SARS, and new variant CJD (mad cow disease).

It appears that the rate of animal to human transfer of pathogens is accelerating and is totally unsupportable over the longer term. Indeed, as Haseltine,[18] then the chief retrovirologist at Harvard's Dana-Farber Cancer Institute, pointed out in 1992, "The future of AIDS is the future of humanity." Testifying at a U.S. Senate hearing, he subsequently predicted that by 2015 the total number of dead or dying from HIV/AIDS could reach one billion-that is, almost a sixth of the current global population. Of course, this huge number of compromised human immune systems would permit mutation of a variety of other pathogens, beyond HIV itself, accelerating the arrival of new, and promoting the diffusion of old diseases.

Why Selenium?

There seem to be several reasons why the AIDS pandemic is being greatly influenced by selenium availability.[19] In vitro selenium can block HIV replication.[20] Conversely, HIV-positive women who have severely depressed serum selenium levels are the most infectious.[21] Beyond this, several viruses including HIV-1 have evolved the ability to create an even greater selenium deficiency in those they infect. Taylor and his coworkers,[22] for example, have demonstrated that the genetic code of HIV-1 contains a gene that is virtually identical to that needed by humans to produce the selenoenzyme glutathione peroxidase. This means that as HIV-1 replicates, it must obtain selenium, a major component of this enzyme, from its host. Since HIV-1 encodes for the whole enzyme, as it becomes more common it depletes its host not only of selenium, but also of the other key core components of glutathione peroxidase, namely the amino acids cysteine, glutamine and tryptophan.[23] As a consequence, HIV positive individuals gradually become more and more deficient in these nutrients. Selenium deficiency causes a depressed CD4T lymphocyte count, a malfunction of the thyroid gland, depression and an increased vulnerability to cancers (including Kaposi's sarcoma). Inadequate cysteine is associated with poor wound and skin healing, psoriasis and abnormal immune function. A lack of glutamine is linked to abnormal intestine permeability, diarrhea and muscle wasting. Tryptophan deficiency leads to diarrhea, dementia and death. As the immune system collapses because of such nutritional abnormalities, associated pathogens invade, causing their own unique symptoms and increased risk of death. AIDS, therefore, is a nutritional deficiency illness caused by a virus. Its victims are simply suffering from extreme deficiencies of selenium, cysteine, glutamine and tryptophan, which can easily be reversed by better diet and supplements. Other viruses are also known to encode for an analogue of glutathione peroxidase,[24] including the hepatitis B and C viruses and coxsackie B. Glutathione peroxidase is strongly antiviral and antiretroviral. The ability to limit its production by infected humans represents a major evolutionary advantage for viruses that encode for it.

Why Now

Throughout human history pandemics have swept the known world. Typically, millions have died from cholera, influenza, typhoid, smallpox or the bubonic plague. Then the responsible pathogen has retreated, only to return later when community immunity against it has declined. Why then did HIV only begin to infect the human population on a global scale for the first time in the last 25 years? There must have been hundreds, if not thousands of past opportunities for the necessary simian to human viral transmission to occur. Indeed, there is evidence of at least seven such relatively recent viral introductions into the human population.[25]

What are the reasons for the timing of the first AIDS pandemic, and indeed for the increased ability of viruses to cross the barrier from animals to humans? There seems to be a minimum daily dietary selenium intake above which, as seen in Senegal and Finland, HIV cannot be transmitted easily. If this is correct, any drop in selenium in the food chain would naturally encourage the diffusion of HIV and indeed many other viruses. In the second half of the twentieth century,[26] coal combustion more than doubled, oil consumption increased by a factor of almost 8 and natural gas was used as a fuel at a rate of roughly 11 times that of 1950. Simultaneously, large parts of the earth were deforested and much of the wood burned. The resulting high levels of sulphur and nitrogen, emitted into the atmosphere, were largely converted into sulphuric and nitric acids, increasing the acidity of associated precipitation. Acid rain altered soil pH and so reduced selenium's bioavailability.[27] Similarly, sulphates, nitrogen and phosphorous in commercial fertilizers are further depressing the uptake of selenium in crops. These processes reduce the dietary intake of selenium by humans, animals and insects, triggering viral mutation and promoting associated pandemics. Naturally, the effects of decreased selenium bioavailability have been most obvious in those unfortunate regions, like sub-Saharan Africa, where levels of this trace element are naturally depressed in the food chain. This is the fundamental reason why sub-Saharan Africa is so badly affected by the HIV/AIDS pandemic.[28]

Implications for Prevention

Vaccination programs have a herd effect. They reduce the chances of infection, even among the untreated. Since they improve communal immunity, there are fewer carriers of the diseases and so the chance of infection declines, even in those who were not vaccinated. [For more on vaccines, see sidebar, p. 20.] Unfortunately, this herd effect also occurs in reverse. As communal immunity declines, the probability of individual infection increases. In Alberta, USESCO World Heritage Site Head-Smashed-In Buffalo Jump is famous for the immense piles of bones that were discovered at the foot of its high cliffs. For thousands of years, First Nations hunters had stampeded countless buffaloes to their deaths over these precipices. I estimate that members of our own stampeding, misdirected herd are falling to their deaths from unnecessary viral infections at a rate of some 20,000 daily. This total does not include mortalities from the wide range of cancers that are promoted by selenium deficiency. It is no coincidence that the lowest cancer incidence on the planet occurs in Senegal.[29]

To slow the slaughter, we should begin to increase dietary selenium levels in all deficient countries by adding this trace element to salt, animal fodder and fertilizers. This is not a new idea. Agriculture supplementation programs are already ongoing in New Zealand[30] and Finland[31] for other health reasons. This strategy, if employed globally, seems the most likely to halt, or at least reduce, the diffusion of HIV-1, hepatitis B and C, coxsackievirus and numerous other viral pathogens in both humans and animals. It can be applied immediately, with almost instantaneous benefits. It is very cheap compared to alternatives and easy to administer, with long-lasting positive effects. A selenium supplementation strategy is also compatible with, and will improve, the outcome of any large scale vaccination programs. Naturally, simultaneous efforts to increase dietary protein in deficient regions would also help to boost human immune systems by increasing glutathione peroxidase levels. This elevation of the selenoenzyme would further reduce the diffusion of many viruses, including HIV, in the supplemented populations.

Implications for Treatment

As described previously, AIDS appears to be simply a combination of the symptoms caused by four main nutrient deficiencies, those of selenium, cysteine, tryptophan and glutamine. If this hypothesis is correct, supplementation with high levels of this trace element and three amino acids ought to reverse AIDS. It does. The first open clinical trial involved the use of selenium-enriched beef liver, given to 40 HIV/AIDS patients in a Ugandan hospital.[32] After one month, 77 percent reported noticeable improvements in health. Those results were even better than they seemed at first glance because seven of these patients also had tuberculosis and four suffered from syphilis. Improvement continued with the passage of time.

A student helping to conduct this open, quality of life trial wrote: "One of our patients, who was on homecare, walked into the clinic on Monday, which was exciting for us. There was also a man we hadn't met before, who had been a homecare patient of [two earlier medical students involved in the trial], and he had been bedridden for four years. He also walked into the clinic on Monday!"

In Zambia, the nutritional supplements were provided to a child care and adoption society. The initial report from this organization was on 15 orphans and guardians who were HIV/AIDS patients. Several also had tuberculosis. Here is a direct quotation: "The general impressions [of the use of the nutrients] from our target group were positive and encouraging. Most people given nutrients improved within the first two weeks of taking these food supplements, i.e., a noticeable improvement started between the second to third week of taking the supplements. For instance, most people given [the nutrients] had their complexions improve, and hair texture and general outlook of their bodies improved. The supplements also made them have enough energy to even move around, others have gained weight and some of those who were bedridden have even started walking on their own."

A Canadian charity, The Friends of Mengo Hospital Canada, has helped to fund a double blind clinical trial in Uganda, involving over 300 HIV-positive patients. They are receiving either selenium and the three amino acids and some twenty vitamins and minerals, or the vitamins and minerals alone. The patients' greatest concern appears to be that they are afraid of what will happen to them when the trial year is over, in October 2006. We are attempting to find financial help to allow them to continue to receive their supplements.

Perhaps the most dramatic results have been achieved in South Africa where a retired nurse is providing this nutrient mix to AIDS patients who have gone home to their villages to die. So far, six have been treated with the selenium, amino acid and vitamin and mineral mixture that we call NutramiracleTM. All have recovered and most are back at work. The word is spreading and there are clinics and hospitals in Zimbabwe, South Africa, Kenya and India hopefully awaiting the financial support needed for a trial.

Help Needed

It is definitely time for action, not just words. This article describes an orthomolecular approach to protecting humanity from HIV/AIDS and numerous other dangerous viruses. Further evidence is available in What Really Causes AIDS, a book that can be freely downloaded at the Internet site www.hdfoster.com.

A nutritional supplement called NutramiracleTM (U.S. patent pending) is being used in trials in Africa. The initial results clearly show its value in HIV/AIDS. It is time to spread the selenium message to the global population, especially to those who are dying from AIDS, hepatitis B and C and other viral infections. Next steps include a documentary and several large scale clinical trials in Africa, India and elsewhere that will be included in the film.

Murray A. Persicke, the executive producer of this event, and I have designed an education program and methodology to address the reversal of the AIDS and other viral pandemics. If you are interested in actively participating in this essential worldwide project, please feel free to contact me directly or murray@hpromedia.comThis e-mail address is being protected from spam bots, you need JavaScript enabled to view it .
This article is from Well Being Journal, November/December 2006, Volume 15, #6. Call 1-775-887-1702 for subscription information. See all available back issues and article feature titles.
 
Nilisikiliza kipindi cha Femina Talkshow cha wiki hii kwa masikitiko makubwa sana. Kuna dada mmoja mlemavu alipata ukimwi na kutelekezwa na familia yake. Mwanadada huyo aliamua kueleza wazi kuwa ni muadhirika akitegemea kupata msaada kutoka kwa familia yake. Chakushangaza ni kwamba alinyanyapaliwa na kutengwa na familia yake. Kwa sasa analelewa na mtu aliye wa familia yake. Ni ndugu wa kutoka kijiji kimoja. Mambo kama hayo yapo kwenye familia nyingi. Ndio maana tulio wengi tunaogopa kujitangaza. Kwani kujitangaza ni kunyanyapaliwa na jamii na pia kutengwa. Huyu mlemavu alijitoa mhanga na kujitangaza. Alikuwa na ujumbe mzito kwa wa-Tanzania. Kwani tulio wengi tunadhani walemavu hawana ukimwi? Dunia imebadilika. Hakuna mlemavu, watoto wa shule wala nani. Wote wanao. All are vulnerable to HIV/AIDS.

Ni wajibu wetu kama jamii kuwahudumia waadhirika wa ugonjwa huu kwa hali na mali. Kwani wote ni watarajiwa wa ugonjwa huo. Nilisoma jana kwenye jamii forums kwamba kuna mtoto alikuja papai na kupata HIV. Uchunguzi ulipofanyika uligundua kwamba aliyemuuzia mtoto huo papai alikuwa na jeraha liliokuwa linatoa damu. Kwa hali hiyo mtoto alipata ukimwi kwa nia hiyo. No one is safe against this killer disease.

Ninatoa pongezi kwa kipindi cha Femina Talk Show hiki kwani kinatoa mambo muhimu yanayozikumba jamii zetu. Kwa hiyo tujifunze kupitia kipindi hiki.
 
Nilisikiliza kipindi cha Femina Talkshow cha wiki hii kwa masikitiko makubwa sana. Kuna dada mmoja mlemavu alipata ukimwi na kutelekezwa na familia yake. Mwanadada huyo aliamua kueleza wazi kuwa ni muadhirika akitegemea kupata msaada kutoka kwa familia yake. Chakushangaza ni kwamba alinyanyapaliwa na kutengwa na familia yake. Kwa sasa analelewa na mtu aliye wa familia yake. Ni ndugu wa kutoka kijiji kimoja. Mambo kama hayo yapo kwenye familia nyingi. Ndio maana tulio wengi tunaogopa kujitangaza. Kwani kujitangaza ni kunyanyapaliwa na jamii na pia kutengwa. Huyu mlemavu alijitoa mhanga na kujitangaza. Alikuwa na ujumbe mzito kwa wa-Tanzania. Kwani tulio wengi tunadhani walemavu hawana ukimwi? Dunia imebadilika. Hakuna mlemavu, watoto wa shule wala nani. Wote wanao. All are vulnerable to HIV/AIDS.

Ni wajibu wetu kama jamii kuwahudumia waadhirika wa ugonjwa huu kwa hali na mali. Kwani wote ni watarajiwa wa ugonjwa huo. Nilisoma jana kwenye jamii forums kwamba kuna mtoto alikuja papai na kupata HIV. Uchunguzi ulipofanyika uligundua kwamba aliyemuuzia mtoto huo papai alikuwa na jeraha liliokuwa linatoa damu. Kwa hali hiyo mtoto alipata ukimwi kwa nia hiyo. No one is safe against this killer disease.

Ninatoa pongezi kwa kipindi cha Femina Talk Show hiki kwani kinatoa mambo muhimu yanayozikumba jamii zetu. Kwa hiyo tujifunze kupitia kipindi hiki.

Yote nimekuelewa sijui mdada mkaka, ila kama uliamini zile habari za mtoto aliyekula nanasi naona na wewe unahitaji kuelimishwa kuhusu HIV

Dr Darwin
 
Back
Top Bottom