Halafu akute yule baba ni mfumua marinda,hapo patanoga au vipi?maana mazee kwa tigo ni balaa.Aisee, inaonekana umepanic bi dada.......kabla ya kuendelea na mpango wako tafakari upya tena
Ukhty anta tishtii zubbi?
Aaaah Veno bhana mbona hivyo?Im, hapo kwenye picha hapana. Hiyo k, kampe tu labda ndiyo tabia yako.
Baby usicheke tafadhali,inatakiwa ulie au vipi?ha hahahaha
Yaani nashindwa sijui nisemeje baby,eti atoe kwa kibabu?tembea na familia nzima tu
Labda anaweza kuona hekima katika maneno hayo"Tamaa ikichukuwa mimba....huzaa dhambi, dhambi ikiisha kukomaa huzaa MAUTI...."
Mamii vipi tena? au kakupa mzuka fulani?
Mtukufu wako naniiiii?sema basi au unabwabwaja?Hata wanaume wanavisasi sana tu. mfano mzuri mtukufu wetu...... hivyo nae mwanamke?
Nawe mrembo umeona eenh?za siku mamii?Hii ni JF bwana.
Umesema kweli muongo.hapana mkuu, hii ni tabia ya mtu na si jinsia ya kike, hafanyi hivyo kwasababu ni mwana mke bali kwasababu ni yeye, angekuwa wa kiume angemlenga mama mtu!, na hii isingemahanisha kuwa wanaume wote wako hivyo isipokuwa yeye ndo yuko hivyo.
Hebu rudia kuandika tena bhana,unaandika kama imo?Mwanamke ni mwanamke tu Sikh zote .mwanamke mmoja kamwendea mwarabu huku swax amkopeshe godoro jamaa kagoma kumbe mama ni bwana afya hii j'mosi kakuta magodoro yanashushwa halafu kuna maji kdodo .ni kumkamata Mara fain badala ya 50000 jamaa katozwa 300000co mwanamke syo
Kama hiyo picha ya avatar ni wewe basi ubarikiwe mamii,yaani mrembo kupita maelezo au vipi?
Mafankuru?Mkuu ukikuta ambayo fuse haipitishi moto mnapiga pu*bu tu hata ukoo mzima fresh tu. Mwanamke kama hayupo vizuri upstairs acha kipochi manyoya kipekuliwe na mafankuru.