KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Daah ama kweli,kitumbua chake yeye mwenyewe anakitia mchanga.si ya kwake
Daah ama kweli,kitumbua chake yeye mwenyewe anakitia mchanga.si ya kwake
The intellectuals use social media making $$...Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.
we kinakuuma nini fanya na wewe ukiwezaThe intellectuals use social media making $$...
The Mediocre uses social media to waste time, money, mind, well off..
All mankind is lost sababu wachafu ndiyo maeneo yao kuwarubuni ma dada mediocres...
In an information age being ignorant is the choice..
Hongera bigdada kwa kuchagua kuwa ignorant...
Internet of things!
Wewe unaonaje mkuu? Mimi she or he? Nilisema ukweli kama mwanajamii regardless of sex.Hivi wewe ni ke au me?
Basi mkuu,yaishe bhana au vipi?Wewe unaonaje mkuu? Mimi she or he? Nilisema ukweli kama mwanajamii regardless of sex.
point....Bigdada , hapo haurudishi heshima, unaipoteza kabisa. Vilevile haumkomoi mtu, unajikomoa mwenyewe.
Aina ya kisasi unachotaka kukitekeleza unaweza kuja kukijutia maisha yako yote, unajua huyo jamaa nae atachukua hatua gani baada ya hilo tukio?
Kama mapenzi yamefika mwisho, endelea na mambo mengine tu, atatokea mwingine mtaendeleza maisha, usiharibu future yako bure rafiki.
Mungu ...Mungu naskia umemtuma.mtu akafanye ushetan na bab mkwe .wake.Hizi ni dhambi, fikiria baba yako apigwe picha yuko MTUPU! Baba yake kakusoea nini? Kumbuka KARMA is a BITCH will come back to haunt your ASS.
Poa mkuu.Basi mkuu,yaishe bhana au vipi?
Thanks mkuu.Poa mkuu.
Unaikomoa chai kwa kuijaza sukari?Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.
Punguza munkari bi Dada, fikiria kabla ya kutenda, sio utende ndio ufikirie, maana ukifanya hivyo utakuja kujutia tena humu na kuomba ushaur tenaNimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.