HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,926
- 6,669
Hivi hiki kizazi cha sasa na cha sodoma kipi kina afadhali?
Hata wanaume wanavisasi sana tu. mfano mzuri mtukufu wetu...... hivyo nae mwanamke?Kisasi cha nini? Akikupiga shavu la kushoto mgeuzie la kulia.
ikifika hapo ndipo SIWAAMINI KABISA WANAWAKE na haki SAWA ZAO, Hivi tujiulize kifikra hawa watu wapo sawa kweli alafu tuwape uongozi watuongoze?. Si mnawaona waliopo madarakani Visasi visasi visasi. Mwanamke anaweza kuazimia kumkomoa/kulipa kisasi mtu mmoja hata kama itagharimu mfumo mzima wa utumishi na elimu.
Hii ni JF bwana.Hata mimi ni baba yake wa kambo, ukimaliza huko uje na kwangu tumtie adabu huyo mwanangu mwehu.
Acha!!!!!!!!!!......... nasema tena acha!, ............tambua thamani yako ni kubwa...........Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.
hapana mkuu, hii ni tabia ya mtu na si jinsia ya kike, hafanyi hivyo kwasababu ni mwana mke bali kwasababu ni yeye, angekuwa wa kiume angemlenga mama mtu!, na hii isingemahanisha kuwa wanaume wote wako hivyo isipokuwa yeye ndo yuko hivyo.Kisasi cha nini? Akikupiga shavu la kushoto mgeuzie la kulia.
ikifika hapo ndipo SIWAAMINI KABISA WANAWAKE na haki SAWA ZAO, Hivi tujiulize kifikra hawa watu wapo sawa kweli alafu tuwape uongozi watuongoze?. Si mnawaona waliopo madarakani Visasi visasi visasi. Mwanamke anaweza kuazimia kumkomoa/kulipa kisasi mtu mmoja hata kama itagharimu mfumo mzima wa utumishi na elimu.
Kama kweli umeamua kuumiza jamaa basi baba mpe 0713......hapo utakua umeuaNimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.
Mkuu ukikuta ambayo fuse haipitishi moto mnapiga pu*bu tu hata ukoo mzima fresh tu. Mwanamke kama hayupo vizuri upstairs acha kipochi manyoya kipekuliwe na mafankuru.Duh Mungu awaingoze wanawake .....kuwa makini utatafunwa na ukoo mzima

Mmhh...msamehe bure. Unaweza kurudiana naye ikawa aibu kumuangalia baba mkwe wako usoni.Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.