KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Bro mambo vipi,mbona umepotea?Mimi mwenyewe, kuna mtu nitamtumia picha za mama yake maana ananichezea akili.
Bro mambo vipi,mbona umepotea?Mimi mwenyewe, kuna mtu nitamtumia picha za mama yake maana ananichezea akili.
Uridhi?,hahaaaaaa unatoka kunanihiii nini?Haha taifisha na mali za uridhi!
Na mimi ni kaka ake mkubwa io huduma ifike na huku isiishie kwa baba tu lazima utupe familia nzima.Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.
Hivi wewe ni ke au me?Unaenda kumvulia nguo baba yako. Kuuona utupu uliomzaa mwanaume aliyekuvua nguo. Ulaaniwe na kizazi chako chote kuanzia cha kwanza hadi cha nne. Alaaniwaye yule auonaye utupu wa mzazi wake. Mzazi si lazima akuzae ila yeye huyu kama ungeolewa na mwanaye ni sawa na baba. Na tayari ujue mwanae alishakuoa ndani ya uzinzi wenu.
Hehe urithi bhanaUridhi?,hahaaaaaa unatoka kunanihiii nini?
Ha ha haHata mimi ni baba yake wa kambo, ukimaliza huko uje na kwangu tumtie adabu huyo mwanangu mwehu.
si ya kwakeBaby usicheke tafadhali,inatakiwa ulie au vipi?
hawa wadada sometimes wana.maamuzi magumu sana na ni ngumu kumeza sijui nani yupo nyuma ya maamuzi yao anyway ukishadate na huyo kikongwe hebu njoo kwangu nami nivunje kibubu.
😀😀😀 !!! Masikini wee mbavu zanguHata mimi ni baba yake wa kambo, ukimaliza huko uje na kwangu tumtie adabu huyo mwanangu mwehu.
At least nimeelewa sasa.Hehe urithi bhana