Lazima heshima irudi

Lazima heshima irudi

Mimi babake mdogo ukimalizana na BABA mzazi Njoo kwangu halafu kwa babake mkubwa Ili ukizungushe vizuri na wajomba pia nitakuelekeza walipo Malaya mzoefu unafikiri unamkomoa nani
 
Bi dada kisasi hakifut yaliyotokea..
In the end.. revenge worth nothing.
Acha Mungu amnyooshe mwenyewe
 
Hizi ni dhambi, fikiria baba yako apigwe picha yuko MTUPU! Baba yake kakusoea nini? Kumbuka KARMA is a BITCH will come back to haunt your ASS.

Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi sasa mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa jumamosi hii tumepanga kuonana , nimeapa lazima nimpe k Yule mzee ili kijana wake ashike adabu leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto no moto
 
Kweli wanawake hakiri zao za kuokota kama hawajaokota maamuzi yao hua yanawakost sana na kuanza kulia,hapo anajiona mjanja kumbe ni bonge la maraya lililoshindikana,umekoswa kisasi kingine umeona K ndyo inafaa kulipiza kisasi,kwa taarifa yako unaliwa na hauolewi mzee anamaliza haja zake huoni tena,tafta njia nyingne
 
Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi sasa mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa jumamosi hii tumepanga kuonana , nimeapa lazima nimpe k Yule mzee ili kijana wake ashike adabu leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto no moto
nitashangaa kama utaniambia umewai kwenda shule!
 
Aisee, sawa bidada, ushaliwa na mzee and then what? khaaaaa hii haijakaa sawa.
 
Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi sasa mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa jumamosi hii tumepanga kuonana , nimeapa lazima nimpe k Yule mzee ili kijana wake ashike adabu leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto no moto
Ivi shosti unaongea kwa hasira tuu au ndio umeamua kufanya kweli? jee umefikiria kua wewe ni mwanamke mwisho wa siku AIBU ni yako sio ya mzee wa X wako, i don't understand what are you trying to prove,lakini nahisi una hasira sana
ndio mana unataka kufanya unachofanya,sababu mwisho wa siku hakutokua na tofauti baina ya huyo X wako na wewe..
Mwanamke kweli ha revenge kwa style yako wewe, unge muacha tuu ukamdharau fungua kurasa mpya wacha maisha yaendele...
 
Na unaonekana utampa 0713 sasa hapo baba MTU ndio atajuwa wewe sio kicheche ila ni panyaroad na baba mkwe atakutimba mpaka ukome kama mm ni uyo x wako sikwambii kitu nakupotezea nali papuchi lako
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Ukiishinda hasira na kisasi na wewe utaitwa mwana wa Mungu, utaitwa intelligent. Kinyume na hapo basi wewe ni mdhaifu na mwana wa shetani kwa sababu ya ghadhabu yako
 
Back
Top Bottom