Sam82
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 295
- 193
Ni ajabu sana kuona mwanamke unashindwa kuuthamini mwili wako kiasi hicho badala yake unauthamini mwili wa mpenz wako. Yaani yeye kujidhalilisha kwa rafiki yako umeona ni kosa kubwa la wewe kuamua kujilaani kwa baba yake, kweli kwa mtindo huu utu na thamani ya mtu haipo. Usipotambua thamani yako hakika hakuna atakayeitambua, kuwa chachu ya kuleta badiliko chanya katika mahusiano na jamii kwa ujumla, maisha siyo mapenz japo mapenz ni sehemu ya maisha. Mungu anakuona na kwa hili utajuta ipo siku.