Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,200
- 99,934
....basi juweni ya kuwa mtenda dhambi ni mtumwa wa dhambi"Tamaa ikichukuwa mimba....huzaa dhambi, dhambi ikiisha kukomaa huzaa MAUTI...."
....basi juweni ya kuwa mtenda dhambi ni mtumwa wa dhambi"Tamaa ikichukuwa mimba....huzaa dhambi, dhambi ikiisha kukomaa huzaa MAUTI...."
Achana na huyo mzee wa watu nitafute tuyajenge aiseeNimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.
Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.



Sasa unamkomoa nani?!...wanawake bwana
Hata mimi ni baba yake wa kambo, ukimaliza huko uje na kwangu tumtie adabu huyo mwanangu mwehu.
Kweli mwanamke akinyimwa akili sehemu za Siri ndio zinazoumia...
Kahaba weye
nitashangaa kama utaniambia umewai kwenda shule!
Usikae kimya bana wala kupita.... TENA ULIMSHAURI KWAMBA ATEMBEE NA FAMILIA NZIMA NI SAWA KABISA... na wengine asagane nao tu tujue moja kwamba kakasirika
Ikifika zamu ya majirani kumkomesha huyo mwehu unitaarifu nisiende kazini ili tumnyooshe mchana kutwa...















































































Mugabe alikuwa sahihi sanaKweli mwanamke akinyimwa akili sehemu za Siri ndio zinazoumia...
We ni malaya kama malaya wengine aliyekwambia ukitendwa basi ugawe kipuuzi nani jiheshimu jitunze wanaume wapo wengi tu wazuri na wenye nia njema ukiona umetendwa shukuru Mungu kakuepusha na mengi mapema