Lazima heshima irudi

Lazima heshima irudi

Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.

Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.

Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.
Sasa kama wewe ni KIBUNGO huyo mzee anaweza hata asikuangalie usoni mara mbili
 
"...Ignorance more frequently begets confidence..."
Charles Darwin
 
Hivi jamaaa akitoka na mama yako au ndugu yako wa damu utajisikiaje? Usifanye maamuzi ya kulipa kisasi, achana nae! Move on.

Hahhahhaaaa...Huyo x wa Bidada nae hata asiogope,amtafute Mama wa bidada afanye yake pia.Kisasi cha K on fleek.
 
Ili kumkomoa kabisa njoo,umalizie kwa Mimi babu yake,mjukuu wangu amekosa maadili kabisa
 
Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.

Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.

Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.
Ili umkomoe vizuri mpe akatembee na mama yako pia na wewe utembee na mbwa wake.
 
Hapa ndiyo utapata uthibitisho kuwa wanawake ni akili hawana

Unaweza ukadhani upo ndani ya ndoa na mwanamke kumbe upo na Nuclear Bomb!
 
6yjpxu.jpg
 
Bigdada pole huyu kijana ni mshenzi sana nimekua nikimuonya kuhusu hizi tabia naona hasikii. This time ashike adbau ukitoka kwa kaka yangu uje na kwangu mimi babake mdogo. Ili akome kabisa tena fanya haraka.
 
Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.

Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia friend request nikachati naye mwisho wa siku mzee kaomba namba nami nikampa, Jumamosi hii tumepanga kuonana, nimeapa lazima nimpe 'k' yule mzee ili kijana wake ashike adabu.

Leo nimemtumia namba ya baba yake ananibembeleza nimwambie nilikoitoa na nimemjuaje baba yake nataka siku nimshangaze kwa kumtumia picha ya baba yake akiwa mtupu kwani dawa ya moto ni moto.
Changudoa wewe
 
Back
Top Bottom