Ladha ya maisha unaipata kwenye nini?

Ladha ya maisha unaipata kwenye nini?

aise nashukuru gentleman,
kwema huko 🐒
Kwema gentleman as
ndugu mdau,
pamoja na kua mimi ni mwanasiasa muandamizi na mbobevu kwenye masuala ya kitaifa na kimataifa, lakini pia ni mtumishi mchapakazi wa wananchi, mkulima, mfugaji, muhadhiri, mfanyabiashara, lakini pia ni Apostle miongoni mwa mitume na manabii humu nchini.

So,
ninapochangia hoja ninachangia nikiwa na focus katika maeneo hayo kulingana na mantiki ya hoja yenyewe.

mnivumilie tafadhali kama nachomeka sana 🐒
Hujambo gentleman
 
Nilijua 😅😅 tu lazima ujipakulie minyama 🤣🤣🤣
Haya Apostle

Sawa sawa mdau 👊

🤣🤣🤣
halafu ndugu mdau,
hizo nyama unazitaja na sioni hata mchuzi hua unanichanganya sana aise,

labda humu jukwaani kuna watu wanatafuna finyango na mimi sijui, aise?🐒
 
Una jizima data et 🤣🤣
Haya lala unono basi
Canada wapo yumba kwa bao moja
data zizimagi ndugu mdau, hua nazima cm kabisa,

Canada ni miongoni mwa waandanaji wa kombe la dunia urojo zaidi,
anaweza kushinda mechi moja tu, ambayo ni dhidi ya Qatar, kinyume na hapo, yeyote yule anae kutana nae, anaopoa point3 kama vile kapoa kitu uwaja wa fisi manzese.

na huenda hiyo ikawa ndio miongoni mwa ladha ya maisha yake kwa wakati huo 🐒
 
data zizimagi ndugu mdau, hua nazima cm kabisa,
Huishiwi maneno lol 😆
Canada ni miongoni mwa waandanaji wa kombe la dunia urojo zaidi,
anaweza kushinda mechi moja tu, ambayo ni dhidi ya Qatar, kinyume na hapo, yeyote yule anae kutana nae, anaopoa point3 kama vile kapoa kitu uwaja wa fisi manzese.
🤣🤣🤣 nicheke mie
na huenda hiyo ikawa ndio miongoni mwa ladha ya maisha yake kwa wakati huo 🐒
Mambo ya ladha hayo sema kufungwa ukiwa home ladha inapungua😢
 
Mmmh what a thoughtful post.
Ladha ya maisha,...

Unamaanisha raha, tu pekee au intimacy ya maisha? Maana hata Maumivu pia ni chanzo cha intimacy.. Imagine mtu Ana ingia gym anapata Maumivu la yanampa furaha akipata dream body.

OK tuje kwenye mada, kwa upande wangu Radha ya maisha ni pale ninavyo ishi kusudi langu, ninavyo badilisha maisha ya mtu mwingine, au kuwa chanzo cha mabadiliko.

Huwa pia napata ladha ya maisha ni napo toa upendo na kupewa upendo. Ni napenda hasa na Nahisi upendo hasa mtu akinipenda. What are we here for if not for love and by love.?

Mwisho kabisa ladha ya maisha sio mda wa raha tu, maisha halisi ni muunganiko wa raha na karaha
 
Back
Top Bottom