ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,749
- 42,228
- Thread starter
- #141
Safii mkuu
- Healthy living
- Peace
- Love
Safii mkuu
- Healthy living
- Peace
- Love
Sawa 😅Safari kubwa 2 pembeni awepo under20
Kesho jumuiya ya Mt Bakhita cc Binti wa zamaniHatari
ExactlyVizuri. Hakika focus na watu makini. Hilo swali lako ni zuri sana,kwanini ,kwa sababu maisha ni kama Game na kila mtu anacheza hili game.Kanuni ya hili Game ni kwamba hata ukishinda unakufa. Hakuna atayebaki kuwa hai ndani ya hili game.
Mfano unaweza kupambana ndoto zako,labda uwa tajiri au Raisi ,ukashinda na kufikia ndoto hizo.Lakini utakufa .
🙌❤️❤️❤️Kwa hiyo kikubwa si kushinda Bali ni kufurahia hili Game. Kwa hiyo swali lako kuhusu ladha ya maisha hakika Lina maana sana.
ndugu mdau wa heshma sana jf,Ladha ya maisha unaipata kwenye nini?
Watu husema bila afya, maisha hayana ladha
Wengine husema bila pesa, maisha hayana ladha
Kuna wanaokunywa pombe wakiamini ndiyo njia ya kuonja ladha ya maisha na kujisitiri na mawazo ya kila siku
Wengine huona raha na ladha ya maisha kupitia mapenzi na ngono, wakiamini humo ndimo kuna furaha kamili
Lakini je, umewahi kufika mahali ukaona maisha hayana ladha kabisa?
Radha ya maisha ni nini hasa?
Utajuaje kwamba hiki unachokipitia sasa ndiyo ladha halisi ya maisha?
Je, kuwa na familia, mke, mume, mpenzi, watoto, marafiki au hata mchepuko kumeongeza ladha ya maisha yako, au kumeifanya ipotee?
Karibu tushirikishane mawazo na uzoefu wetu
It's Furahi Day! 😄
ShesRise_1
🖐
Hujambo mwana ccm ?ndugu mdau wa heshma sana jf,
Ladha ya maisha ni maisha yenyewe. Ni muhimu sana kumshukuru Mungu kwa zawadi hii muafaka, ya kipekee na ya bure kabisa katika ulimwengu huu kwa kila mja wa Allah.
Baada ya sote kuumbwa,
tunalo chaguo la hiyari, yaani ama kua na maisha ya furaha, huzuni au karaha, amani, misukosuko, utulivu ama vinginevyo, hiyo ni uchaguzi wa mtu binafsi tu kadiri anavyoona inafaa.
na ndio maana,
wataalamu wa masuala ya kijamii, kisiasa na kiuchumi tunasema,
KUA TAJIRI AU MASKINI TANZANIA NI UAMUZI BINAFSI WA MTU MWENYEWE.
na wale wengine wakesema raha jipe mwenyewe.
So,
ladha ya maisha ipo kwenye uchaguzi wako binafsi kadiri ya Neema na Baraka za Mungu au vinginevyo 🐒
aise nashukuru gentleman,Hujambo mwana ccm ?
🥰ndugu mdau wa heshma sana jf,
Amen AmenLadha ya maisha ni maisha yenyewe. Ni muhimu sana kumshukuru Mungu kwa zawadi hii muafaka, ya kipekee na ya bure kabisa katika ulimwengu huu kwa kila mja wa Allah
kwahiyo wale wanaopitia taabu na dhiki mbali mbali ni hiyari yaoBaada ya sote kuumbwa,
tunalo chaguo la hiyari, yaani ama kua na maisha ya furaha, huzuni au karaha, amani, misukosuko, utulivu ama vinginevyo, hiyo ni uchaguzi wa mtu binafsi tu kadiri anavyoona inafaa.
Umeanza siasa sasa kama kawaida yakona ndio maana,
wataalamu wa masuala ya kijamii, kisiasa na kiuchumi tunasema,
KUA TAJIRI AU MASKINI TANZANIA NI UAMUZI BINAFSI WA MTU MWENYEWE.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 huhuhuhuuuina wale wengine wakesema raha jipe mwenyewe.
Sawaa🐒So,
ladha ya maisha ipo kwenye uchaguzi wako binafsi kadiri ya Neema na Baraka za Mungu au vinginevyo 🐒
Hongera mkuuAfya Pesa na Familia.
Samahani basi utajibu J3maswali magumu hivi weekend.
Nimekumbuka ule wimbo wa AliMsosi
ndugu mdau,🥰
Amen Amen
hapa umekuja kama shemasi
kwahiyo wale wanaopitia taabu na dhiki mbali mbali ni hiyari yao
ongezea nyama hapa
Umeanza siasa sasa kama kawaida yako
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 huhuhuhuuui
Sawaa🐒
😁😁 Mimi hata ukinisema poa tuNimekumbuka ule wimbo wa Ali
Usinisemee kama napenda kula
Nilijua 😅😅 tu lazima ujipakulie minyama 🤣🤣🤣ndugu mdau,
pamoja na kua mimi ni mwanasiasa muandamizi na mbobevu kwenye masuala ya kitaifa na kimataifa, lakini pia ni mtumishi mchapakazi wa wananchi, mkulima, mfugaji, muhadhiri, mfanyabiashara, lakini pia ni Apostle miongoni mwa mitume na manabii humu nchini.
Sawa sawa mdau 👊So,
ninapochangia hoja ninachangia nikiwa na focus katika maeneo hayo kulingana na mantiki ya hoja yenyewe.
🤣🤣🤣mnivumilie tafadhali kama nachomeka sana 🐒
Sisemi itakua siri yangu dear karibu siku moja nikupikie😁😁 Mimi hata ukinisema poa tu
😁😁 Sema hakyamungu...nipe locationSisemi itakua siri yangu dear karibu siku moja nikupikie