proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 7,573
- 11,757
Ulishaachika siku mbona....
Kama sitaki je 😅😅
Ebu niache aisee
Kama sitaki je 😅😅
Ebu niache aisee
Haya pita 🫴Ulishaachika siku mbona....
SijuiNifundishe kutag niwe nawatag na Seran
Mwambie mtu yeyote anayestrugle kuwa perfect(perfectionism) ni mtu asiyejiamini muda mwingine waache watu wakukumbushe usiwe perfect kwa kila kituKama sitaki je 😅😅
Ebu niache aisee
Ukiskia matusi ya nguoni, ndio hayo sasa...😂Kitenge cha binti wa zamani hiki 😹😹
Nyungi❌️❌️❌️❌️mala nyingi❌❌❌ ma𝐫𝐚 nyungi✔️✔️✔️✔️
pita kushotoMwambie mtu yeyote anayestrugle kuwa perfect(perfectionism) ni mtu asiyejiamini muda mwingine waache watu wakukumbushe usiwe perfect kwa kila kitu
SawaSijui
Marahabaaa! Hujambo mjukuu?Shikamoo bibi
Miss you
Mtu kang'ang'ana kukosoa tuMwambie mtu yeyote anayestrugle kuwa perfect(perfectionism) ni mtu asiyejiamini muda mwingine waache watu wakukumbushe usiwe perfect kwa kila kitu
Sijambo babu yuko wapiMarahabaaa! Hujambo mjukuu?
Fungua darasa la kiswahili tuingie darasani mbali na hapo unapika majungu
Ukizungumza jambo mara moja kwa nia ya ku elimisha unaeleweka ila kulishikia bango ni kama majunguUnakosea unasema majungu? Hili jukwaa ni darasa huru.
Ukizungumza jambo mara moja kwa nia ya ku elimisha unaeleweka ila kulishikia bango ni kama majungu
Nyongeza : sio kila mtu humu tangu azaliwe na kujifunza kuongea alikua anazungumza kiswahili🙏🙏🙏
Dah 😅 haya jibu kwanini usijibu sasa 🫴Nimeongea mara moja tu. Baada ya hapo mimi najibu tu watu walioninukuu kama nilivyokujibu wewe. Hutaki nijibu?
Furaha yangu itakamilika pale ntapowafanyia kipindi cc @Dr mariposa cocastic na Lamomy[/USER
[/QUOTE]
Kila la kheri
[QUOTE="Monetary doctor, post: 56224406, member: 688067"]
Ila siku umekuwa busy Ila una majibu ambayo akirudi kujibu ana moyo wa chuma
[/QUOTE]
Hapa sijaelewa hata
Wewe unamuoneaga yule babu bhna😅😅