Ladha ya maisha unaipata kwenye nini?

Ladha ya maisha unaipata kwenye nini?

Mwambie mtu yeyote anayestrugle kuwa perfect(perfectionism) ni mtu asiyejiamini muda mwingine waache watu wakukumbushe usiwe perfect kwa kila kitu
Mtu kang'ang'ana kukosoa tu
Sijui ndio aonekane ana akili nyingi sasa mi saivi unanifundisha herufi zitanisaidia nini😅😅
 
Unakosea unasema majungu? Hili jukwaa ni darasa huru.
Ukizungumza jambo mara moja kwa nia ya ku elimisha unaeleweka ila kulishikia bango ni kama majungu

Nyongeza : sio kila mtu humu tangu azaliwe na kujifunza kuongea alikua anazungumza kiswahili🙏🙏🙏
 
Ukizungumza jambo mara moja kwa nia ya ku elimisha unaeleweka ila kulishikia bango ni kama majungu

Nyongeza : sio kila mtu humu tangu azaliwe na kujifunza kuongea alikua anazungumza kiswahili🙏🙏🙏

Nimeongea mara moja tu. Baada ya hapo mimi najibu tu watu walioninukuu kama nilivyokujibu wewe. Hutaki nijibu?
 
Nimeongea mara moja tu. Baada ya hapo mimi najibu tu watu walioninukuu kama nilivyokujibu wewe. Hutaki nijibu?
Dah 😅 haya jibu kwanini usijibu sasa 🫴
 
Back
Top Bottom